Vodacom Tanzania yaibuka kidedea katika tuzo za kidijitali

KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini ya Vodacom, imetunukiwa tuzo na Kampuni ya Serengeti bytes kupitia programu ya Tanzania Digital Awards katika wiki ya ubunifu (Innovation week). Kampuni hiyo ya Vodacom imejishindia tuzo katika vopengele vitano ambavyo ni: · Kampuni bora ya simu nchini · Kampuni ya simu inayotoa huduma bora zaidi…

Read More

NHIF YATUMIA MAONYESHO YA 11 YA BIASHARA NA UTALII KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU VIFURUSHI VYAO

Na Oscar Assenga, TANGA MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF) Mkoani umeshirikia maonyesho ya 11 ya Biashara na Utalii yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara ili kutoa elimu kuhusu huduma wanazotoa ikiwemo vifurushi wanavyovitoa. Banda la Mfuko huo limekuwa lililopo kwenye maonyesho hayo limekuwa ni kivutio kwa wananchi ambao wamefika…

Read More

Maelfu wahamishwa kufuatia mafuriko Ujerumani – DW – 03.06.2024

Watu wameokolewa katika vijiji kadhaa vilivyoko pembezoni mwa mto Danube na Schmutter huku afisa mmoja akielezea wasiwasi kuhusiana na kufurika kwa bwawa lililoko eneo hilo. Maafisa wa uokoaji wakiwaokoa watu kwa mtumbwiPicha: Stefan Puchner/dpa/picture alliance Kulingana na idara ya hali ya hewa ya Ujerumani, mvua kubwa na mafuriko iliyoshuhudiwa katika majimbo mawili imetatiza shughuli za…

Read More

WAFUGAJI KUNUFAIKA KIUCHUMI KWA MIKOPO YA BILIONI 26 ZA TADB

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kupitia mradi Jumuishi kati ya wasindikaji na wazalishaji wa Maziwa (TI3P), unaotekelezwa na benki hiyo ikishirikiana na Heifer International na Land o Lakes, imetoa mikopo yenye thamani ya bilioni 26 katika sekta ya maziwa. Hayo yameelezwa leo na Meneja wa Kanda TADB, Alphonce Mokoki,…

Read More

DIWANI PASIANSI AKABIDHI WADAU VYETI VYA SHUKRANI KUFANISHA UJENZI WA ZAHANATI BWIRU PRESS

Mmoja wa wadau akipokea cheti cha shukurani kutoka kwa Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto), leo. Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto),leo akimkadhi cheti cha shukurani mmoja wa wadau wa maendeleo Kata ya Pasiansi. Picha zote na Baltazar Mashaka Mkurugenzi wa Fish Maws Industry ()kulia) akipokea cheti shukurani kutoka…

Read More

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI MAKOME WILAYANI MTWARA,AWAPONGEZA WATENDAJI WA RUWASA KWA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAJI

WANANCHI wa kijiji cha Makome na Makome B wilaya ya Mtwara Mkoani Mtwara,wamepata matumaini ya kuondokana na adha ya ukosefu wa huduma ya maji safi na salama baada ya wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kuanza ujenzi wa mradi wa maji ya bomba. Wananchi wa vijiji hivyo,kwa muda mrefu wanalazimika kuamka usiku wa manane…

Read More

Benki ya NBC Yazidua Akaunti ya Mfugaji Mahususi kwa Wadau wa Sekta ya Ufugaji.

 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini wakiwemo wafugaji, wanenepeshaji mifugo, wafanyabiashara wa mifugo, wasafirishaji wa mifugo mifugo na wadau mbalimbali wanaohudumia sekta hiyo muhimu kiuchumi. Huduma hiyo ya kwanza kutambulishwa na benki ya biashara nchini maalumu kwa kundi hilo, pamoja na…

Read More

Misingi na nguzo kuu za ndoa

Kama ilivyo nyumba, ndoa ina misingi yake. Kama ilivyo taasisi yoyote, ndoa ina nguzo hata miiko yake ambayo wanandoa wanapaswa kuizingatia na kuilinda. Hapa, tutaongelea misingi mikuu ya ndoa ambayo tunaidadavua kama ifuatavyo; japo kwa uchache na ufupi ili kukuachia fursa na wakati muafaka kufanya utafiti binafsi na huru wewe mwenyewe.  Msingi mkuu wa kwanza…

Read More

Serikali kuimarisha maeneo yote yanayotoa huduma kwa wananchi

Geita. Waziri Mkuu,  Kasimu Majaliwa amesema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha maeneo yote ya utawala yanayotoa huduma karibu na wananchi yanaimarishwa kwa viwango. Majaliwa amesema hayo leo Jumapili Juni 2, 2024 wakati akiweka jiwe la msingi jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale linalojengwa kwa zaidi ya Sh4 bilioni. Amesema halmashauri ni mpya nchini iliyoanza…

Read More