Chama cha ANC kuanza kuunda serikali ya mseto – DW – 02.06.2024

Huku asilimia 99.91 ya kura zikiwa zimehesabiwa kufuatia uchaguzi wa Jumatano, chama cha rais Cyril Ramaphosa cha ANC kilikuwa kimepata asilimia 40.2, matokeo ambayo ni mabaya kulinganisha na mwaka 2019 ambapo kilishinda asilimia 57.5 ya kura. “Chama cha ANC kimejitolea kuunda serikali itakayodhihirisha ari ya umma, iliyo imara na inayoweza kuongoza barabara,” alisema katibu mkuu…

Read More

Waandishi wajitosa kukabili mabadiliko ya tabiachi

Moshi. Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Kilimanjaro (Mecki) imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kupanda miti maeneo mbalimbali ikiwamo kwenye chemi chemi ya Miweleni. Upandaji miti hiyo ni jitihada za kuunga mkono Serikali katika mapambano dhidi ya uharibifu wa mazingira. Pamoja na hayo imetaka jamii, wenyeviti wa vijiji pamoja na watendaji wa maeneo hayo…

Read More

Dk Kimbokota: ‘Msijisahau, Ukimwi bado Upo’

Iringa. Naibu Rasi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (Muce), Dk Fikira Kimbokota amesema Ukimwi bado upo na kuwakumbusha wasomi kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya. Amesema Muce imekuwa ikitenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo ili kudhibiti maambukizi mapya. Akizungumza na Mwananchi baada ya mafunzo kwa wahadhiri, wanafunzi…

Read More