Usajili matibabu bure kwa makundi maalumu mbioni

Unguja. Wasimamizi wa jumuiya zinazohudumia kaya masikini na watoto yatima,  wametakiwa kusimamia kikamilifu usajili wa kundi hilo katika Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF) ili kuwarahisishia kupata matibabu.  Pia, wadau wa maendeleo na watu wenye uwezo,  wameombwa kujitokeza kuchangia mfuko huo kulisaidia kundi hilo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa ZHSF, Yaasin Ameir Juma ametoa kauli…

Read More

TBS YASISITIZA WAFANYABIASHARA KUZINGATIA VIWANGO

Raisa Said, Tanga Shirika la Viwango Tanzania (TBS ) limesisitiza wafanyabiashara kuzingatia bidhaa zao zimekidhi matakwa ya viwango kwani kwa wale wasiofuata taratibu hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kupigwa faini kuanzia million 10 hadi million 100. Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano na Masoko TBS Gladness Kaseka wakati akizungumza na waandishi wa habari na Wadau…

Read More

Mkondo wa maji chini ya ardhi waibua hofu Moshi

Moshi. Maji yanayotoka chini ya ardhi katika makazi ya wananchi na baadhi ya maeneo ya biashara eneo la Ngangamfumuni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, yameibua hofu ya usalama. Kwa mara ya kwanza maji yaliibuka mwaka 2020 na kuathiri shughuli za ujenzi wa mradi wa kimkakati wa mkoa huo wa stendi ya kimataifa ya mabasi ya…

Read More

Jaji Tiganga ataka ushiriki wa sekta binafsi udhibiti taka ngumu

Arusha. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, Joachimu Tiganga ameitaka Serikali kuishirikisha sekta binafsi na kuweka mazingira wezeshi ya kusaidia katika udhibiti wa taka ngumu zinazozagaa mitaani. Jaji Tiganga amesema kuwa zaidi ya tani milioni saba za taka ngumu zinazozalishwa nchini, ni asilimia 35 pekee ndizo zinazokusanywa na kuteketezwa, huku zingine…

Read More

Chadema Morogoro mjini wapata viongozi wapya

Morogoro. Baada ya vuta nikuvute ya uchaguzi viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Morogoro mjini, hatimaye chama hicho kimepata viongozi wapya wa jimbo na mabaraza watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo leo Juni Mosi, 2024, msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu na operesheni kamanda…

Read More

Kilio cha barabara na maji chamgusa Dk Tulia

Mbeya. Diwani wa Kata ya Ilemi jijini Mbeya, Angelo Magoma amempokea Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson kwa kilio cha barabara na maji akieleza kuwa wananchi wana manung’uniko mengi na wanatishia kuandamana kutokana na changamoto hiyo. Magoma amesema hayo leo Juni 1 wakati Dk Tulia alipofika kata hiyo kusalimiana na wananchi na kukutana kero hiyo,…

Read More