
Serikali ya mseto yanukia Afrika Kusini baada ya ANC kuanguka
Vyama vya siasa nchini Afrika Kusini, vimeanza mazungumzo ya kujaribu kutengeneza muungano utakayowezesha kuunda Serikali ya mseto. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo inakuja wakati huu chama tawala cha ANC kikionekana kupoteza idadi kubwa ya viti kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 30. Licha ya kuwa chama hicho cha muasisi wa…