Kodi mafuta ya kula ya nje kupanda 2024/25

Singida. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Serikali inatarajia kuongeza kodi kwenye mafuta ya kula yanayotoka nje ya nchi katika bajeti ya mwaka 2024/25, ili kuwalinda wakulima wa alizeti. Pia, inakwenda kujenga soko kubwa na la kisasa la vitunguu mkoani Singida, na ujenzi wa mradi mkubwa wa umwagiliaji mkoani humo wenye thamani ya zaidi ya…

Read More

MAELFU YA WANANCHI WAFURIKA KUAGA MWILI WA BABA MZAZI WA MBUNGE KOKA

NA VICTOR MASANGU,KILIMANJARO Maelfu ya  wananchi,viongozi, wa serikali,wakiwemo mawaziri  wakuu wa Wilaya wakuu wa Mikoa,Wabunge  viongozi wa  dini,madiwani na viongozi wa mashirika wamejitokeza kwa kwa ajili ya kumzika aliyekuwa Baba mzazi wa Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini mzee Francis Koka  katika nyumba yake ya milele. Mazishi hayo ambayo yamefanyika nyumbani kwa marehemu  katika eneo…

Read More

KONGAMANO KUBWA LA DIASPORA NCHINI MAREKANI

  Karibu kwenye kongamano kubwa la DIASPORA Marekani litakalofanyika Katika Hotel yenye mandhali ya kiAfrika inayoitwa Kalahari, ni Sept 26 mpaka 29 ni kongamano la siku 3 limesheheni mambo makubwa ikiwemo Kuelimisha, kubadilishana mawazo, michezo na burudani BOFYA HAPA UJISAJILI. Hili kongamano Litakutanisha Diaspora kutoka kote Duniani wadau mbalimbali kutoka sekta zote Tanzania wakiwemo wafanya biashara…

Read More

RC Serukamba ataka kodi isikusanywe kibabe

Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba amesema kodi haiwezi kukusanywa kwa ubabe, akiwataka maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani humo kutumia lugha nzuri. Amesema ikiwa mteja ana deni na wanataka kuifunga akaunti yake, ni vizuri wafuate utaratibu ikiwamo kuzungumza naye ili atakapokaidi ndipo wachukue hatua zinazofuata. Serukammba amesema hayo leo Mei…

Read More

SERIKALI KUJA NA MIKAKATI YA KUPIMA UBORA WA ELIMU NCHINI

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ,akizungumza wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya Tathimini ya ujifunzaji na ufaulu wa Wanafunzi . ……………. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa Serikali inaweka mikakati ya kuendelea kupima ubora wa elimu kwa kuzingatia vigezo Kitaifa na Kimataifa. Prof. Mkenda ametoa…

Read More

Nchimbi amtaja, Sumaye urais wa Kikwete 2005

Katesh. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),  Dk Emmanuel Nchimbi amesimulia kisa cha urais mwaka 2005 alipofunga safari kutoka Bunda, Mkoa wa Mara kwenda kwa Waziri mkuu wa wakati huo, Fredrick Sumaye kumuomba amwachie Jakaya Kikwete awanie urais. Dk Nchimbi wakati huo amesema alikuwa na miaka 31 na  Mkuu wa Wilaya ya Bunda na…

Read More

Kelvin John apata timu Denmark aondoka Genk

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Kelvin John (20) ameondoka Club ya KRC Genk ya Ubelgiji na kwenda kujiunga na Club ya Ålborg FC iliyopanda daraja na sasa itacheza Ligi Kuu Denmark msimu wa 2024/2025. Kelvin John inaripotiwa kuwa amesaini Mkataba wa miaka minne wa kuitumikia Aalborg FC na sasa msimu ujao…

Read More