TBS KANDA YA KATI YATEKETEZA BIDHAA ZISIZO NA UBORA

  Afisa Mdhibiti ubora Kanda ya kati TBS, Sileja Lushibika, akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja na vipondozi vyenye thamani ya shilingi milioni 42.5. Afisa Mdhibiti ubora Dodoma TBS Bi. Halima Msonga,akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja…

Read More

TANZANIA KUJIIMARISHA KATIKA UKANDA WA IORA

Tanzania imeweka nia ya dhati ya kunufaika na fursa mbalimbali zinazopatikana katika Jumuiya ya Nchi za Mwambao wa Bahari ya Hindi (IORA) kupitia uanachama wake kwenye Jumuiya hiyo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa ambaye aliongoza ujumbe wa Tanzania…

Read More

TBS KANDA YA KATI YATEKETEZA BIDHAA ZENYE THAMANI YA MIL. 42.5

  Afisa Mdhibiti ubora Kanda ya kati TBS, Sileja Lushibika, akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja na vipondozi vyenye thamani ya shilingi milioni 42.5. Afisa Mdhibiti ubora Dodoma TBS Bi. Halima Msonga,akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja…

Read More

Ulijua; kwa nini hukutuambia? | Mwananchi

Mwaka 1982 nilifika Mbagala. Kwa sasa sina kumbukumbu nzuri ya kitongoji hicho jinsi kilivyokuwa. Tulisafiri kwa basi la UDA mpaka mahala fulani (sijui ni Kurasini pale?), baada ya hapo tulichapa malapa hadi tuliposimama kwenye nyumba pweke kuomba maji ya kunywa. Tukapiga tena mguu hadi kwenye mti uliloanguka, tukapumzika. Mwanzoni tulikutana na mtu mmoja mmoja na…

Read More

DKT. MPANGO AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA MAZINGIRA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameagiza kuangaliwa upya kwa sheria zinazohusu uhifadhi wa mazingira ili kuliwezesha Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Halmashauri kuwa na nguvu ya kuchukua hatua kali dhidi ya uharibifu wa Mazingira. Makamu wa Rais ametoa maagizo hayo wakati akifungua Kongamano la Wadau…

Read More