Rais Samia asikubali kurejea ya Magufuli

HAKUNA shaka kuwa uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliopangwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, umeanza kugubikwa na utata na ikiwa mamlaka hazitakuwa makini, hakika waweza kuvurugika. Anaandika Oliver Mwikila … (endelea). Hii ni kwa sababu, hata kabla ya uchaguzi wenyewe kuanza kufanyika, tayari kumeibuka utata unaotokana na kuwapo sheria tatu…

Read More

Wawili waenda jela maisha kwa kusafirisha mirungi 

Moshi. Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na   Uhujumu Uchumi Kanda ya Moshi, imewahukumu kifungo cha maisha jela, Abdalah Halfan Mkwizu na Samwel Eliud Lyakurya wakazi wa Rombo, baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha kilo 690.767 za dawa za kulevya aina ya mirungi. Mbali na kifungo hicho, Mahakama hiyo imeamuru…

Read More

DKT. BITEKO AZINDUA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (katikati) akizindua kituo kikubwa cha kupoza na kusambaza umeme cha Ifakara ( 20MVA) wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima na kushoto kwake ni Balozi wa Umoja wa Ulaya, Christine Grau Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

Read More

Dk Mpango: Uchafuzi mazingira mijini bado changamoto

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema uchafuzi wa mazingira katika miji, majiji halmashauri bado changamoto, akiwataka viongozi wa maeneo kuongeza nguvu katika usimamizi wa kukabiliana na suala hilo. Mbali na hilo, Dk Mpango uharibifu wa misitu bado changamoto licha ya kuwepo kwa vyombo vya kuishauri Serikali kuhusu masuala ya utunzaji wa…

Read More

Demokrasia yetu kwa hisani ya mabeberu

VIONGOZI wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejipambanua kuwa mabingwa wa siasa za masikini jeuri: mara hatutaki fedha za mabeberu, mara tunataka msaada wa mabeberu. Anaandika Mwandishi Wetu… (endelea) Mmoja wa watu waliokuwa watetezi wa safari za nje za Jakaya Mrisho Kikwete alizokuwa akifanya kila uchao wakati wa awamu yake ni aliyekuwa Waziri wa…

Read More

Chadema jimbo la Morogoro Mjini yafanya uchaguzi

Morogoro. Chama cha Demockasia na Maenendeo (Chadema) Jimbo la Morogoro mjini leo Mei 31, kinafanya uchaguzi wa viongozi wa jimbo na wa mabaraza matatu ya chama hicho kwa miaka mitano ijayo. Mabaraza hayo yanayofanya uchaguzi ni Baraza la vijana (Bavicha), Baraza la Wazee (Bazesha) na Baraza la Wanawake (Bawacha). Mjumbe wa Kamati Kuu na Kamanda…

Read More