Kobbie Mainoo amesimamisha mazungumzo ya mkataba wa Man Utd.

Kobbie Mainoo yuko tayari kusaini mkataba mpya na Manchester United – lakini anataka kusimamisha mazungumzo hadi baada ya Euro. Kiungo huyo amefurahia kampeni ya Mashetani Wekundu, akianza kwa mara ya kwanza Oktoba kabla ya kujiimarisha na kufunga katika fainali ya Kombe la FA akiwa njiani kutwaa kombe hilo kwenye Uwanja wa Wembley. Juhudi zake uwanjani…

Read More

Kiongozi wa kuandaa Katiba mpya CCM hajazaliwa

HABARI kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kipo tayari kukaa meza moja ya mazungumzo na vyama mbalimbali kwa lengo la kufanya mjadala wa Katiba pamoja na maridhiano ni mgeni pekee wa siasa za Tanzania masikio yake yanaweza kusisimkwa na kuamini, maana kiongozi wa kuandaa Katiba Mpya kutoka chama hicho hajazaliwa. Anaandika Bupe Mwakiteleko … (endelea). Wamewachezea…

Read More

Ubunifu wa UDOM wamkosha Majaliwa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa, amevutiwa na ubunifu uliofanywa na Chuo Kikuu cha Dodoma kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu.  Waziri Mkuu Kssim Majaliwa, akieleza jambo wakati wa akiwa kwenye Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma, wakati wa kufunga…

Read More

WATOTO WAKIUME WAANGA WAKUBWA KUTUMIKISHWA KAZI KWENYE JAMII

Mwandishi wetu. MTANDAO wa kupinga utumikishaji watoto Tanzania, umesema watoto wa kiume ndio wahanga wakubwa wa kutumikishwa kazi katika jamii. Pia umesema watoto hao wamekuwa wakitumikishwa zaidi katika Mkoa wa Simiyu, Shinyanga na Mwanza kutokana na kuwa na shughuli nyingi za kiuchumi. Hayo yamebainishwa Jijini Dar es salaam leo Mei 30,2024 na Mwenyekiti wa bodi…

Read More

Vincent Kompany kumsaka nyota wa Uingereza.

Vincent Kompany anamtaka nyota wa Ligi Kuu ya Uingereza pauni milioni 35 kama uhamisho wa kwanza wa Bayern Munich Bayern Munich wanamfuatilia nyota wa Arsenal Oleksandr Zinchenko, ambaye anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Vincent Kompany kama meneja wao mpya. Kocha wa zamani wa Burnley Kompany aliwasilishwa kwa vyombo vya habari siku ya Alhamisi…

Read More

WAZIRI MKUU AVUTIWA NA UBUNIFU UDOM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, akieleza jambo wakati wa akiwa kwenye Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma, wakati wa kufunga maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika mkoani Tanga. ……. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, amevutiwa na ubunifu uliofanywa na Chuo Kikuu…

Read More