Bunge lapitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi asilimia100.

Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na ukamilishaji viwanja vikubwa vya ndege. Jana Mei 29,2024 Waziri Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliwasilisha makadirio ya bajeti ya kiasi hicho kwa…

Read More

Nafanya masters kwa kutumia kipaji pekee

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM) ameishukuru Serikali kwa kurejesha utaratibu wa kutambua maarifa yaliyopatikana nje ya mfumo rasmi wa elimu (Recognition of Prior Learning) kwani yeye ni tunda la mmoja wa Watanzania walioendelea na masomo ya elimu ya juu kwa kutumia kipaji pekee. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). “Shukrani kubwa kwa serikali kwa sababu…

Read More

ANC yaanza kupoteza nguvu zake matokeo ya awali

Johannesburg. Wakati kura zinaendelea kuhesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Afrika Kusini yakiendelea kutolewa, matokeo ya awali yanaonyesha kuwa chama tawala cha ANC huenda kikapoteza nguvu zake. Endapo hilo litatokea, ANC italazimika kufanya makubaliano na vyama vingine ili kuunda serikali ya pamoja. Uchaguzi wa washirika wa muungano utategemea umbali wao kutoka alama ya asilimia 50. Iwapo…

Read More

Wanafunzi wa TIA Watoa Kongole Kwa Usimamizi wa Bunifu Kutoka Chuo

Mwanafunzi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Klaivet Steven akizungumza kuhusiana na ubunifu wake wa kusaidia mtu kupata makazi ya kupanga katika mikoa yote nchini.Mwanafunzi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Paul Reuben  akizungumza kuhusiana na ubunifu zao la Korosho mteja kupata korosha moja kwa moja kutoka kwa katika mfumo.Baadhi ya wanafunzi wakipata maelezo katika Banda la…

Read More

Crystal Palace wanakaribia kukamilisha dili la kumsajili Daichi Kamada kama mchezaji huru.

Crystal Palace, chini ya usimamizi wa Oliver Glasner, wanaripotiwa kufuatilia kwa karibu hali kuhusu mazungumzo ya mkataba wa Daichi Kamada na Lazio. Kamada, ambaye aliwasili Lazio msimu uliopita wa joto kutoka Eintracht Frankfurt, anatafuta kandarasi mpya yenye kipengele cha chini cha kuachiliwa. Kiungo huyo amekubali kusaini mkataba wa nyongeza na Lazio lakini anashinikiza kujumuishwa kwa…

Read More

Kim Jong Un Anasimamia Ufyatuaji wa Roketi kubwa zaidi.

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un hivi majuzi alisimamia zoezi la “kubwa zaidi” la kurusha roketi nyingi kwa lengo la kuiga shambulio dhidi ya Korea Kusini. Mazoezi hayo yalifanywa na Chuo cha Sayansi ya Ulinzi cha Korea Kaskazini na kuhusisha ufyatuaji wa kurusha roketi nyingi za masafa marefu na silaha za kimbinu. Kim Jong…

Read More

Faida na hasara upasuaji wa ganzi na usingizi kwa mjamzito

Dar es Salaam. Wakati ambao tafiti zinaonyesha kuwapo kwa ongezeko la wanawake wanaojifungua kwa upasuaji nchini katika mwaka 2022, umewahi kujiuliza njia ipi ni nzuri kutumia kuondoa maumivu wakati wa upasuaji? Hiyo nikiwa na maana umewahi kufikiria njia ipi ni salama kutumia ili kuzuia kusikia maumivu wakati wa upasuaji kati ya sindano ya usingizi (nusu…

Read More