Mkuu wa Wilaya ya Lushoto; Niko Tayari Kushirikiana na VETA

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Japhari Kubecha akizungumza na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa VETA Dora Tesha wakati alipotembelea Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlal Mjini Tanga.   Na Chalila Kibuda,Tanga MKUU wa Wilaya ya Lushoto Japhari Kubecha amesema kuwa kama Serikali wako…

Read More

Chelsea na Napoli kwa sasa hawafanyi kazi ya kubadilishana kati ya Victor Osimhen na Romelu Lukaku.

Kwa sasa, hakuna mpango wa kubadilishana unaoendelea kati ya Klabu ya Soka ya Chelsea na Napoli kwa kubadilishana Victor Osimhen na Romelu Lukaku. Kufikia sasa, vilabu vyote viwili havijafikia makubaliano juu ya mpango wa kubadilishana unaohusisha washambuliaji hao wawili. Ripoti zinazopendekeza vinginevyo ni za kubahatisha na zinapaswa kuchukuliwa kwa chumvi hadi matangazo rasmi yafanywe na…

Read More

Lema abwaga manyanga Chadema kaskazini

MWENYEKITI anayemaliza muda wake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo ili kulinda maslahi ya chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Lema ametangaza msimamo huo leo Alhamisi kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X, ikiwa ni siku moja tangu Chadema ianze kufanya uchaguzi…

Read More

Mbunge amtaka waziri asimpige ‘sound’

Mbunge wa viti maalumu, Cecilia Pareso amemtahadharisha Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa kwamba amechoka kupigwa ‘sound’ (maelezo) kuhusu ujenzi wa Barabara ya Mang’ola-Lalago hadi mkoani Simiyu yenye urefu wa kilometa 129. “Ni barabara ya muda mrefu sana ambayo mlituahidi mtajenga kwa kiwango cha lami kilometa 129 kwa upande wetu wa Karatu kabla ya kuunga upande…

Read More

AKU Yataka Vijana Kujiunga Katika Shahada ya Uuguzi

[8:37 PM, 5/30/2024] Chalila Tg: AKU yataka vijana kujiunga katika shahada ya Uuguzi Na Chalila Kibuda, Michuzi TV TangaCHUO Kikuu cha Aga Khan Tanzania (AKU) kimesema kuwa vijana kutumia fursa ya kujiunga na na Chuo Kikuu cha Aga Khan kusoma shahada ya kwanza ya Uuguzi kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha sita kwa mwaka wa Masomo…

Read More

MAKUMBUSHO INAYOTEMBEA YATINGA BUNGENI – DODOMA

Na Sixmund Begashe, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa, imeweka onesho adimu la vioneshwa vya urithi wa asili na utamaduni ndani ya viwanja vya Bunge, kupitia gari Maalum, kwa lengo la kuelezea Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara hiyo kupitia Taasisi ya Makumbusho. Akikagua maonesho hayo, Waziri wa Maliasili na…

Read More

FCC kutumia akili mnembe(AI) kuimarisha utendaji kazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kukua kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara huku elimu zaidi ikihitajika kwa wadau na wananchi kuhusu Teknolojia hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 30,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), William…

Read More

Ukosefu wa ajira kwa vijana unavyozalisha ‘uchawa’

Dar es Salaam. Vijana kukosa mamlaka ya kisiasa na nguvu za kiuchumi, kumetajwa kuwa chimbuko la baadhi yao kujitafutia fursa kwa kugeuka ‘chawa.’ Chawa ni mdudu anayeishi mwilini kwa kunyonya damu, ambaye anafananishwa na vijana ambao wamekuwa wakijipendekeza na wakiwaganda watu wenye nacho au viongozi ili kujitafutia masilahi binafsi. Ukosefu wa nguvu za kiuchumi unaelezwa…

Read More

FCC KUTUMIA AKILI MNEMBA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI

  Na: Hughes Dugilo, DAR ES SALAAM. Kukua kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara huku elimu zaidi ikihitajika kwa wadau na wananchi kuhusu Teknolojia hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 30,2024 Jijini Dar es Salaam, na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani…

Read More