Ukarabati kivuko cha MV Magogoni kukamilika Desemba

Dodoma. Bunge limeelezwa ukarabati wa kivuko cha Mv Magogoni utakamilika mwishoni mwa Desemba, 2024 na kitaanza kutumika. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amesema hayo leo Alhamisi, Mei 30, 2024 akijibu swali la msingi la mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile. Mbunge huyo alihoji ni lini matengenezo ya Mv Magogoni nje ya nchi yatakamilika na…

Read More

BUNGE LAPITISHA BAJETI WIZARA YA UJENZI KWA ASILIMIA 100

Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na ukamilishaji viwanja vikubwa vya ndege. Jana Mei 29,2024 Waziri Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliwasilisha makadirio ya bajeti ya kiasi hicho kwa…

Read More

Chelsea, Wolves na Newcastle timu tatu kati ya nyingi za Premier League kuuliza kuhusu mlinda mlango wa La Liga.

Msimu huu, Villarreal ilikuwa moja ya timu mbaya zaidi kwenye safu ya ulinzi ya La Liga, lakini haijasitishwa, kipa Filip Jorgensen kuonesha kiwango kizuri barani humo. Kipa huyo wa Denmark aliaminiwa msimu huu licha ya makosa kadhaa msimu uliopita, na amelipa faida. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akikabiliwa na maswali kutoka kwa…

Read More

Wadau wa ununuzi wakumbushwa kuzingatia uadilifu, uaminifu

Dar es Salaam.  Serikali imewataka wadau wa sekta ya ununuzi wa umma kuhakikisha wanazingatia misingi ya uadilifu, uaminifu na haki katika michakato ya ununuzi wa umma ili kuiwezesha Serikali kupata thamani ya fedha. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Mei 30, 2024 na Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Fedha, Moses Dulle wakati akifunga mafunzo…

Read More

Vijana Wawekewa Mazingira ya Fursa ya Ajira ya Fani ya Mechatronics-Mwalim u VETA Kipawa

 Mwalimu wa VETA Kipawa Ricky Sambo akizungumza na Wanafunzi wa Sekondari Waliotembelea Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga. Baadhi ya wananchi  wakiwa katika Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu,Ubunifu na Ujuzi. Na Chalila Kibuda,Michuzi TV MWALIMU  VETA Kipawa…

Read More

Sheria za bodaboda kufutwa Zanzibar.

Naibu waziri wa Ujenzi mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe Nadir Abdullatif akijibu hoja za Waheshimiwa wawakilishi Kwenye Baraza la wawakilishi linaloendelea Chukwani Zanzibar amesema madereva wa boda boda watawashughulikia kwa kuwatia adabu kwa kwa kuvunja nidhamu za kwenye njia Naibu wa ujenzi ameyasema hayo kufuatia michango ya wajumbe wa Baraza hilo , kwa kile kinachotajwa…

Read More

Sagini azungumzia wanafunzi kufeli mitihani ya uwakili

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST), kutoa mrejesho wa uwezo wa wanafunzi wanaowapokea. Msingi wa kauli hiyo, ni kile alichodai kutoridhishwa na asilimia 59 ya ufaulu wa jumla wa wahitimu wa LST tangu ilipoanzishwa. Tangu kuanzishwa kwa taasisi hiyo, Mkuu wa…

Read More

JUMUIYA YA SHIA WAMPONGEZA RAIS DK.MWINYI KWA MAENDELEO

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameushukuru uongozi wa Jumuiya ya Shia Tanzania kumpongeza kwa kazi nzuri anazozifanya kuwaletea maendeleo makubwa wananchi wa Zanzibar. Rais Dk.Mwinyi ametoa shukrani hizo alipokutana na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe:…

Read More

Ac Monaco kuhitaji kumsajili Broja.

Kwa mujibu wa L’Équipe, AS Monaco kwa sasa wapo kwenye mazungumzo na Chelsea kuhusu usajili wa Armando Broja (22). Klabu hiyo ya Principality kwa sasa inaongoza Watford na AC Milan katika mbio za kumsajili mshambuliaji huyo, ambaye alitumia kipindi cha pili cha msimu kwa mkopo katika klabu ya Fulham. Wiki iliyopita, Monaco ilithibitisha kuwa nahodha…

Read More