Msipeleke watoto vilabuni, Jeshi la Polisi laonya

Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewaonya wazazi na walezi kuacha tabia ya kuwapeleka watoto kwenye vilabu vya usiku, likieleza kuwa maeneo hayo yanachochea mmomonyoko wa maadili na kuwaweka watoto katika hatari ya ukatili wa kijinsia na kiafya. Onyo hilo limetolewa Agosti 28, 2025 na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa…

Read More

Tanzania kudhibiti kemikali hatari za dawa za kulevya

Nashville. Tanzania imeingia makubaliano na nchi zinazozalisha kwa wingi kemikali bashirifu zinazotumika katika utengenezaji wa dawa za kulevya ili kupunguza athari kwa vijana. Hayo yamesemwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo ambaye ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa 39 wa Kimataifa wa Mapambano Dhidi…

Read More

Tanzania ijifunze haya, mdororo wa uchumi Botswana

Kupungua kwa mauzo ya almasi kumetajwa kama moja ya sababu iliyofanya nchi ya Botswana kutangaza hali ya dharura kutokana na kushindwa kumudu baadhi ya mahitaji ikiwamo katika sekta ya afya. Agosti 26, 2025 Botswana ilitangaza hali ya dharura ya afya ya umma kutokana na kukabiliwa kwa uhaba wa dawa muhimu na vifaa vya matibabu. Rais…

Read More

TLP yaahidi kampeni za amani, utulivu

Dar es Salaam. Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), kinatarajia kuzindua kampeni zake Septemba 4, 2025 huku kikiahidi kuwa zitafanyika kwa amani na utulivu. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Agosti 29, 2025 na mgombea urais wa chama hicho, Yustas Rwamugira, katika hafla ya wananchama kumpokea iliyofanyika makao makuu ya chama hicho Magomeni, Dar es Salaam akitokea…

Read More

Samia aahidi lami, kituo cha afya Morogoro vijijini

Morogoro. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kuboresha huduma za afya, barabara na kilimo kwa wananchi wa Morogoro vijijini endapo atachaguliwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Katika eneo hilo, ameahidi ujenzi wa Barabara ya Bigwa – Kisaki kwa kiwango cha lami, ujenzi wa kituo kikubwa cha afya na…

Read More

Dk Nchimbi: Yajayo Mwanza yanafurahisha

Mwanza. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameeleza jinsi  chama hicho kitawafanyia wananchi wa mkoa wa Mwanza endapo watapewa ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Sekta ya elimu, afya, miundombinu ya barabara, huduma za maji na kijamii itakuwa ni kipaumbele kikubwa. Kuwasimamia na kuwawajibisha wabadhirifu wa…

Read More