MUHULA WA KWANZA KIDATO CHA TANO KUANZA JULAI 1

Na Gideon Gregory, Dodoma. Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kushirikiana na taasisi nyingine za Serikali ikiwemo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekamilisha zoezi la Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kujiunga na Kidato cha Tano katika Shule za Sekondari na Vyuo vya Elimu ya Ufundi vya Serikali kwa mwaka 2024 ambapo Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka…

Read More

NMB yawatangazia fursa vijana wenye bunifu mbalimbali

BENKI ya NMB imeshiriki kwenye maadhimisho ya elimu, ujuzi na ubunifu yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlaly huku ikitoa fursa kwa vijana wenye bunifu mbalimbali kwenda kufanya majaribio kwenye mfumo maalum wa majaribio katika benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yalisemwa na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Baraka Ladislaus wakati…

Read More

Wabunge wataka bajeti Wizara ya Ujenzi ipitiwe upya

Dodoma. Wabunge wameitaka Kamati ya Bunge ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili kuongeza fedha kwa wizara hiyo. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa jana Mei 29, 2024 aliwasilisha bajeti ya wizara hiyo huku akiomba Bunge lipitishe Sh1.7 trilioni kwa mwaka 2024/25. Hata hivyo, wabunge wamesema kiwango hicho cha fedha hakitafikia…

Read More

TWCC yawataka wanawake kujitokeza uchaguzi serikali za Mitaa

Na Deogratius Temba; Chamwino WANAWAKE wametakiwa kujiimarisha kiuchumi kwa kuwekeza kwenye miradi mikubwa na kushiriki kwenye nafasi za uongozi na maamuzi katika ngazi mbalimbali ili kubadili mfumo itakayoweka mazingira wezeshi kwa wanawake kufanya biashara Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chemba ya Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Mwajuma Hamza, wakati wa kufunga mafunzo ya wanawake viongozi…

Read More

WATOA HUDUMA ZA FEDHA WAONYWA UVUNJAJI SHERIA

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, akipokea nyenzo za kufundishia   elimu ya fedha na majarida mbalimbali ikiwemo jarida lenye elimu ya uwekezaji kutoka kwa Afisa Mkuu Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, baada ya kufika Ofisini kwake kabla ya kuingia kwenye kikao cha…

Read More

PSG wanaonekana kutaka kumsajili Ibrahima Konate wa Liverpool.

Wakati Ibrahima Konaté (25) ana furaha katika Liverpool FC, hata licha ya kuondoka kwa Jürgen Klopp, Mfaransa huyo amebakiza miaka miwili tu kwenye mkataba wake. Anaonekana kama fursa inayowezekana kwa vilabu vingi kote Ulaya, pamoja na Paris Saint-Germain, kulingana na ripoti kutoka L’Équipe.Mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba wa Konate yamekuwa yakiendelea kwa miezi kadhaa. Liverpool wamesalia…

Read More

Daladala 20 kuongeza nguvu Barabara ya Morogoro

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na tatizo la usafiri kwa wakazi wa Mbezi wanaokwenda maeneo ya Mjini kupitia Barabara ya Morogoro, Mamlaka ya Udhibiti  Usafiri Ardhini(Latra), imeruhusu kurejeshwa kwa daladala 20. Daladala hizo ambazo kila moja inapaswa kuwa na uwezo wa kubeba abiria 40, zitawawezesha wakazi wa Mbezi na maeneo ya jirani kupata usafiri kwa…

Read More

Urus Tanzania yawashauri wafugaji kutumia mbegu za mifugo zilizoboreshwa kuongeza uzalishaji

Na Mwandishi Wetu  Urus Tanzania, ambayo  ni kampuni tanzu ya Urus global, inayojishughulisha na usambazaji wa mbegu bora za ng’ombe wa maziwa na nyama duniani,imewashauri wafugaji wazawa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti na kuboreshwa ili kuongeza uzalishaji katika shughuli zao za ufugaji. Akiongea katika Maonesho ya 27 ya Wiki ya Maziwa yanayoendelea jijini Mwanza, Meneja Mkazi…

Read More

Kiungo wa kati wa Manchester City anajitoa kwa Barcelona.

Barcelona wanawinda kiungo wa kati msimu huu wa joto kuchukua nafasi ya Sergio Busquets, baada ya juhudi zao za kufanya hivyo wakiwa na Oriol Romeu kutofaulu mwaka huu. Baadhi ya watu wamekuwa wakihusishwa na klabu ya Blaugrana, lakini kiungo wa Manchester City, Kalvin Phillips ameamua kujiweka kwenye rada. Baada ya kupoteza nafasi yake katika timu…

Read More