Msigwa afunguka baada ya kuangushwa na Sugu

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa, amempongea Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kichaguliwa kurithi mikoba yake, katika uchaguzi uliofanyika Jana tarehe 29 Mei 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Akizungumza baada ya matokeo hayo kutangazwa jana Jumatano, Msigwa amesema siasa ni mchezo wa kuingia na kutoka…

Read More

WANAOSHIRIKI UMISETA SAME WATAKIWA KUZINGATA NIDHAMU

Ashrack Miraji Same Kilimanjaro KATIBU Tawala wa wilaya ya Same, Upendo Wella nidhamu ni jambo la msingi katika michezo, hivyo amewaombe wanafunzi ambao wanakwenda kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Sekondari Tanzania(UMISETA) kuheshimu kila mtu. Ameyasema hayo hayo alipomwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Same Kaslida Mgeni kwenye kuhitimisha Umoja wa Michezo…

Read More

Arsenal kumska Youssouf Fofana wa Monaco.

Youssouf Fofana (25) amebakiza mwaka mmoja pekee kwenye mkataba wake na AS Monaco. Kwa sasa, hakuna mazungumzo ya kufanya upya na kama Mkurugenzi Mtendaji wa klabu ya Principality Thiago Scuro alivyofichua mapema mwezi huu, mlango uko wazi kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa kuondoka msimu huu wa joto. “Pengine ni mmoja wa wachezaji ambao…

Read More

Mume alia kunyimwa unyumba kwa miaka tisa

Mbarali. “Ni kama picha ya kuigiza kumbe kweli nimepitia vipindi vigumu katika maisha  ya mahusiano,  nimeambulia vipigo manyanyaso, kunyimwa unyumba na hata kutelekezewa familia.” Ni kauli ya Elia John (48) mkazi wa Igurusi wilayani Mbalari Mkoa wa Mbeya ambaye amedai kupitia visa na mikasa kutokana na mwenza wake kumsaliti kwa miaka tisa baada ya kumfungulia…

Read More

Uwezekano wa Upamecano kuondoka Bayern.

Umekuwa msimu mgumu kwa Dayot Upamecano (25), ambaye siku zote amekuwa akionyesha kiwango bora kabisa akiwa na Bayern Munich. Kulingana na L’Équipe, beki huyo wa zamani wa RB Leipzig anaweza kuondoka katika klabu hiyo ya Bavaria msimu huu wa joto. Msimamo wa Bayern Munich uko wazi – hawataki kuuza Upamecano. Wakati Matthijs De Ligt na…

Read More

Utata kutoweka kwa mvuvi, polisi wakana kumkamata

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita wiki tatu tangu Lilenga Lilenga, mkazi wa Mwandiga mkoani Kigoma kudaiwa kuchukuliwa na watu wanaodaiwa ni polisi, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Filemon Makungu amesema wameshaanza uchunguzi. Akizungumza na Mwananchi jana Jumatano Mei 29, 2024, mke wa Lilenga,  Johari Kabwe amesema wanawashuku polisi kwa kuhusika na kupotea kwa mume…

Read More