Kauli za wadau mjadala wa uendeshaji vivuko nchini

Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu uendeshaji wa vivuko nchini, wengine wakishauri ili kukabiliana na changamoto zinazojitokeza vibinafsishwe kwa sekta binafsi, huku wengine wakipinga. Hayo yameelezwa leo Mei 29, 2024 kwenye mjadala ulioendeshwa na Mwananchi Space, ukiwa na mada isemayo ‘Nini kinaweza kuwa suluhu ya changamoto inayoikabili Temesa kuhusu huduma…

Read More

Rais Samia ateua watendaji Tume ya Mipango

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akiwamo Dk Mursali Milanzi, aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Mipango ya Kitaifa. Kabla ya uteuzi huo, Dk Milanzi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa katika Tume ya Mipango. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Read More

Ujenzi vivuko Tanga kuzuia vifo vya wanafunzi

UJENZI wa Vivuko vya alama za pundamilia na njia za watembea kwa miguu katika Shule za Msingi Makorora na Azimio Jijini Tanga, vimewaepusha wanafunzi kuepukana na ajali ambazo zimekuwa zikichangia vifo na majeraha mbalimbali kwao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tanga …(endelea). Ujenzi huo umewezeshwa na Shirika la Amend Tanzania kupitia mradi wake Miundombinu  Salama ya Barabara…

Read More

Rais Samia ateua watedaji Tume ya Mipango

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akiwamo Dk Mursali Milanzi, aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Mipango ya Kitaifa. Kabla ya uteuzi huo, Dk Milanzi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa katika Tume ya Mipango. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Read More

Aston Villa iko tayari kuwasilisha ombi la kumnunua kiungo wa Lazio Matteo Guendouzi.

Katika ripoti za hivi punde, Aston Villa, chini ya usimamizi wa Unai Emery, inajiandaa kuwasilisha ofa ya kumsajili Matteo Guendouzi kutoka Lazio. Guendouzi, kiungo Mfaransa ambaye aliwahi kuichezea Arsenal na kwa sasa anaichezea Marseille, ameripotiwa kutofautiana na kocha wa Lazio, Igor Tudor. Ofa hiyo inatarajiwa kuwa takriban €30m (£26m), na inaonekana kwamba mchezaji huyo na…

Read More

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Kanda ya Nyasa

Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa unafanyika leo May 29,2024 katika Mji wa Makambako Mkoa wa Njombe kwa kushuhudia Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ akimbwaga mpinzani wake kwa tofauti ya kura mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Katika uchaguzi uliofanyika leo Jumatano kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria wa Neema – Makambambo mkoani…

Read More

Ahadi ‘hewa’ Ujenzi zavuruga wabunge

Dodoma. Wabunge wamecharuka wakilalamikia ahadi zisizotekelezwa za ujenzi wa barabara, mwingine akitoa ushahidi wa hotuba za Wizara ya Ujenzi za miaka mitano.  Mbunge mwingine ametoa ushahidi wa sauti iliyosikika ya Spika Dk Tulia Ackson na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa wakati huo, Profesa Makame Mbarawa, akithibitisha kuhusu ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami…

Read More

Thiago Motta uwezekano wa kusaini Juventus.

Thiago Motta anaweza akamaliza kusaini mkataba wake kama kocha wa Juventus nchini Ureno, kwa sababu anasafiri kwenda huko na Harley Davidson kutoka Bologna. Mtaalamu huyo alisema mara kadhaa baada ya kuthibitisha kwamba hataongeza muda wa kukaa kwenye benchi ya Bologna kwamba huenda akachukua pikipiki yake katika safari kupitia Barcelona kwenda kuwatembelea baba yake na kaka…

Read More

VIVUKO KIGAMBONI: Mifumo inavyotishia uhai wa Temesa – 4

Dar es Salaam. Changamoto zilizobainika kwenye vivuko vya Magogoni – Kigamboni zinazotokana na kucheleweshewa matengenezo, zimeibua mambo mapya ndani ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa). Haya ni ya mifumo ya uendeshaji inayozingatia zaidi utoaji huduma badala ya kufanya biashara, ambayo inauweka rehani uhai wakala huo. Mifumo hiyo kwa mujibu wa uchunguzi wa takriban…

Read More