
Wafungwa wapiga kura Afrika Kusini
Afrika Kusini. Wakati wananchi wa Afrika Kusini wakipiga kura leo Mei 29, 2024, wafungwa katika gereza la Pollsmoor la Cape Town nao wamepiga kura kwa mujibu wa taarifa za serikali. Chini ya Kifungu cha 24B cha Sheria ya Uchaguzi, wafungwa nchini Afrika Kusini wanaruhusiwa kupiga kura katika wilaya wanazoshikiliwa. Gereza la Pollsmoor lina umuhimu wa…