Mhasibu Karatu matatani akidaiwa kutengeneza mfumo bandia wa EFD

Karatu. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, linamshikilia mhasibu mmoja wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu akidaiwa kutengeneza risiti bandia za kielektroniki (EFD) na kuzitumia kukusanya mapato kwa wafanyabiashara wa samaki katika eneo la Mang’ola. Mbali na mhasibu huyo pia jeshi hilo linamtafuta mtumishi mwingine wa halmashauri hiyo kwa tuhuma hizo. Kutokana na sababu hiyo,…

Read More

Arsenal kumsaka Alexander Isak. – Millard Ayo

Arsenal wanaripotiwa kupanga mazungumzo juu ya uwezekano wa kumnunua mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak. The Gunners wanadaiwa kutaka kupata huduma za fowadi huyo mwenye kipaji, ambaye kwa sasa anachezea Real Sociedad katika La Liga. Ripoti za hivi punde zinaonyesha kuwa mkutano na Isak “umethibitisha” uamuzi wa Arsenal kufuata uhamisho huo. Alexander Isak: Wasifu wa Mchezaji…

Read More

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni Jijini Dodoma Amesema wastani wa mchango wa Sekta katika Pato la Taifa katika kipindi cha miaka 10…

Read More

Waafrika Kusini wapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria leo

Waafrika Kusini leo Jumatano wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria ambao kwa mara ya kwanza umeruhusu wagombea huru tangu mfumo wa ubaguzi wa rangi kumalizika nchini humo mwaka 1994. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Zaidi ya watu milioni 27 wamejiandikisha kupiga kura katika kura inayoangazia kuongezeka kwa mgawanyiko wa kisiasa baada ya miaka 30 ya…

Read More