WIZARA YA UJENZI YAANIKA VIPAUMBELE NANE

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amebainisha vipaumbele nane vya Wizara ya Ujenzi itakavyotekeleza katika bajeti mwaka 2024/25. Akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka 2024/25, Bashungwa amesema bajeti itazingatia kufanya matengenezo ya miundombinu ya barabara na madaraja iliyoharibiwa na mvua za El Nino na Kimbunga Hidaya. Bashungwa amesema…

Read More

Serikali kushirikiana na sekta binafsi utekelezaji wa miradi.

Wizara ya Ujenzi imeanza utaratibu wa kushirikisha sekta binafsi kwa utaratibu wa ubia (PPP)katika kutekeleza miradi ya miundombinu. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni jijini Dodoma leo, Mei 29, 2024 Amesema ni katika kuipunguzia Serikali gharama kubwa za utekelezaji wa miradi…

Read More

VIVUKO KIGAMBONI:  Mfupa kwa sekta binafsi kuwekeza-3

Dar es Salaam. Licha ya dhamira ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya vivuko kati ya Kigamboni na Magogoni, huenda mpango huo ukabaki kuwa ndoto isiyotimia kwa miaka kadhaa. Hilo linatokana na mazingira ambayo si rafiki kwa sekta binafsi kutoa huduma katika eneo hilo. Nia ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi…

Read More

PROFESA PALLANGYO ATEMBELEA MABANDA MBALIMBALI , MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akipata maelezo kwa Afisa Uhusiano wa Chuo cha Usimamizi wa  Fedha (IFM)wakati alipotembelea Banda la IFM kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa…

Read More

Mwalimu Agundua Ubunifu wa Kifaa cha Kuongeza Usikivu

*Ugunduzi umetokana na yeye mwenyewe kuwa na changamoto ya usikivu hafifu Na Chalila Kibuda ,Michuzi TV TangaMWALIMU wa VETA Kigoma Innocent Maziku agundua kifaa cha kuongeza usikivu kutokana na yeye mwenyewe kuwa na usikivu hafifu. Maziku amebainisha hayo katika Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ya Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja…

Read More