Umewahi kuwasikia wapiga debe wa kukupeleka ‘gesti’

Mbeya. Wakati wapiga debe kwa baadhi ya mikoa wakiwa wanalalamikiwa  kuwabughudhi abiria katika vituo vikuu vya mabasi, hali ni tofauti mkoani  Mbeya kwani wamekuwa mkombozi kwa abiria wanaofika kituoni hapo. Hii ni kutokana na mbali ya kupiga debe kwenye mabasi lakini pia wamekuwa msaada katika kuwatafutia wageni wanaofika mkoani hapo  nyumba za kulala wageni. Wakizungumza…

Read More

ATE, TUCTA, VETA Kuimarisha ujuzi Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundi

Mtendaji Mkuu wa Chama  cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran na Katibu Mkuu wa Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Herny Nkunda wakisaini mikataba na  mikataba waliyosaini kwaajili ya kuimarisha Mafunzo ya Ufundi. Mtendaji Mkuu wa Chama  cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran akizungumza wakati wa utiaji wa saini ya kutekeleza makubaliano ya Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Shirikisho la wenye viwanda (CTI), Vyuo vya…

Read More

Biashara hewa ukaa inavyobadili maisha wakazi wa Tanganyika, Waziri Jafo aguswa

Katavi. Wakazi wa Kijiji cha Kapanga katika Wilayani Tanganyika mkoani Katavi, wamesema biashara ya hewa ukaa inayoendelea kutekelezwa kiwilaya, inazidi kuwanufaisha baada ya fedha zake kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo Wilaya hiyo ni miongoni mwa zinazonufaika na utunzaji wa mazingira kwa kufanya biashara ya hewa ukaa,  na kwa mwaka  inapata zaidi ya Sh14 bilioni zinazosaidia…

Read More

TBA YASHIRIKI MAONESHO YA SEKTA YA UJENZI BUNGENI DODOMA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Bw Ludovick Nduhiye,akisalimiana na watumishi wa TBA kwenye Banda la TBA  katika Maonesho ya Sekta ya Ujenzi kuelekea Bajeti ya Wizara hiyo yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma  ambayo yanashirikisha Taasisi zote zilizoko chini ya Wizara ya Ujenzi. Na Alex Sonna-DODOMA WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA)…

Read More

Jude Bellingham Anatania kuhusu Kushinda Ballon d’Or na Mwenzake wa Real Madrid Vinicius jr.

  Jude Bellingham, mwanasoka mchanga mwenye kipawa anayechezea Borussia Dortmund, hivi majuzi aligonga vichwa vya habari alipotania kuhusu kushinda tuzo ya kifahari ya Ballon d’Or pamoja na mchezaji mwenzake wa Real Madrid, Vinicius Junior. Ballon d’Or ni tuzo ya kila mwaka ya soka inayotolewa na Ufaransa Football. Imetolewa tangu 1956 na inachukuliwa kuwa moja ya…

Read More

VIVUKO KIGAMBONI:  Mfupa kwa sekta binafsi kuwekeza

Dar es Salaam. Licha ya dhamira ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya vivuko kati ya Kigamboni na Magogoni, huenda mpango huo ukabaki kuwa ndoto isiyotimia kwa miaka kadhaa. Hilo linatokana na mazingira ambayo si rafiki kwa sekta binafsi kutoa huduma katika eneo hilo. Nia ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi…

Read More

BARRICK YAFANIKISHA KONGAMANO YA WANAFUNZI VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOANI MWANZA

KAMPUNI ya Barrick nchini imedhamini kongamano la Vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ambapo wanafunzi walioshiriki walipata fursa ya kujengewa uwezo kuhusiana na masuala ya kujiamini,jinsi ya kujiajiri na kupata ajira sambamba na kutambua fursa zilizopo zinatozotokana na mabadiliko ya…

Read More

NACTVET YAFUNGUA DIRISHA LA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) Dkt.Adolf Rutayuga akizungumza na Waandishi habari (hawapo) pichani kuhusiana na kufunguliwa kwa dirisha la udahili wa kujiunga na Astashada na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2024/2025. *Yataka waombaji kuweka taarifa sahihi kuepusha usumbufu Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Tanga ,BARAZA…

Read More