
TEKNOLOJIA MBADALA KUIMARISHA MTANDAO WA BARABARA NCHINI
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Teknolojia mbadala kuimarisha mtandao wa barabara ikiwemo ujenzi wa madaraja imara na madhubuti itaendelea kutumiwa nchini na Wakala ya Barabara za Vijijini na Vijijini – TARURA. Yameelezwa hayo na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila mbele ya waandishi wa habari katika banda la maonesho…