
Diaspora watuma trilioni 2, sasa kupewa hadhi maalumu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Diaspora wana umuhimu mkubwa kutokana na mchango wao katika maendeleo ya Taifa kwani mwaka 2023, walituma fedha nyumbani kiasi cha Dola za Marekani 751.6 milioni (Sh 1.9 trilioni). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya…