Serikali kuwapa hadhi maalumu Diaspora

Dodoma. Serikali imesema ipo katika hatua za kukamilisha kutoa hadhi maalumu kwa raia wa nchi nyingine wenye asili ya Tanzania,   ambapo muswada wa marekebisho ya sheria utawasilisha katika Bunge hili. Hayo yamesemwa leo Jumanne Mei 28, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya…

Read More

WAWILI MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI NGURUDOTO.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili Kwa tuhuma za mauaji ya Ndembora Exaud Nanyaro aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu baada ya kujeruhumiwa na watuhumiwa hao mei 20, 2024 huko katika Kijiji cha Ngurudoto Kata ya Maji ya chai wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha mei 25,2024. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi…

Read More

Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa na mwalimu mkuu kuhamishwa shule

Musoma. Hatimaye mwanafunzi anayedaiwa kubakwa, kulawitiwa na kisha kunyweshwa sumu na mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Masaunga wilayani Bunda,  anatarajiwa kuhamishiwa katika shule nyingine ili kuendelea na masomo. Mwanafunzi huyo wa darasa la sita amepata fursa hiyo kufuatia habari iliyoandikwa na mitandao ya Mwananchi, akiiomba Serikali pamoja na wadau kumuwezesha kuhamishwa shule,  kutokana na…

Read More

Makonda ambana meneja Ruwasa Monduli

Arusha. Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira (Ruwasa), wilayani Monduli, Neville Msaki  amejikuta kwenye wakati mgumu mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha,  Paul Makonda baada ya kujikuta akishindwa kujibu maswali  kwa ufasaha na  hatimaye kuomba radhi. Tukio hilo lililitokea jana Jumatatu Mei 28,2024 wakati mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani humo, mwananchi…

Read More

THRDC yawapa kibarua watetezi wa wafugaji

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewataka watetezi wa haki za Binadamu kwa jamii ya wafugaji kuongeza juhudi katika utekelezaji wa majukumu yao kwa kuwa hivi sasa inakabiliwa na changamoto nyingi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa katika mafunzo ya kuwajengea uwezi watetezi…

Read More

Mzalishaji pombe bandia aishukuru Mahakama kumtia hatiani

Dar es Salaam. Mfanyabiashara aliyekuwa akimiliki kiwanda bubu cha kutengeneza na kusambaza pombe kali bandia, Frank Donatus Mrema na wenzake wawili aliokuwa amewaajiri katika kiwanda hicho, wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha maisha jela, huku mmoja akimwaga shukrani kwa Mungu na Mahakama baada ya kutiwa hatiani. Frank na wenzake hao, Faham Salim Ngoda na Issa Juma…

Read More