JK KINARA UTAFUTAJI FEDHA ZA KUIMARISHA ELIMU AFRIKA

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024 Annual Meeting) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya tarehe 26 – 28 Mei, 2024. Ametumia fursa ya kushiriki Mkutano huo kuzungumza na vongozi mbalimbali,…

Read More

WAZIRI MKENDA AFUNGUA WIKI YA MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU, NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu ni sehemu ya mikakati ya serikali katika kuongeza hamasa ya kukuza elimu ujuzi na ubunifu katika kuchangiza maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Mkenda amesema hayo Mei 27, 2024 jijini Tanga wakati akifungua Maadhimisho hayo ambapo amesema matumizi…

Read More

Wananchi Mtama wajichangisha Sh1.5 milioni kujenga zahanati

Mtama. Wananchi wa Kijiji cha Nahukahuka mkoani Lindi wameanza ujenzi wa zahanati ili kupunguza adha ya kutembea umbali wa kilometa tano kufuata huduma za afya katika Kijiji cha Nyangamara, kilichopo Halmashauri ya Mtama mkoani humo. Zahanati hiyo itakayogharimu zaidi ya Sh68 milioni ikijengwa na Halmashauri ya Mtama na nguvu za wananchi inatarajia kuhudumia wakazi wapatao…

Read More

Allaince One yatokomeza uhaba wa maji Urambo

  Na Mwandishi Wetu,Urambo Wakazi zaidi ya 6000 wa Kitongoji cha Kitega Uchumi wilaya ya Urambo mkoani Tabora wameondokana na changamoto ya maji baada ya Kampuni ya Tumbaku ya Alliance one kuwajengea kisima cha maji safi na salama katika kitongoji chao. Kisima hicho kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 34 kitahudumia Kaya 671 za eneo la…

Read More

Baraza la usalama laitisha kikao cha dharura kujadili Rafah – DW – 28.05.2024

Shambulizi hilo lilisababisha moto mkubwa katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina. Israel kupitia waziri mkuu Benjamin Netanyahu imesema inachunguza tukio hilo ililoliita“ajali ya kusikitisha” na athari zake kwa raia. Jeshi la Israel lilisema shambulizi hilo la Jumapili usiku kusini mwa Rafah liliwalenga na kuwauwa maafisa wawili waandamizi wa Hamas lakini pia likasababisha moto ambao Wapalestina…

Read More

Zanzibar yasajili laini za simu 849,000

Unguja. Zanzibar imesajili laini za simu za mezani na mkononi 849,082 sawa na kadirio la watumiaji 446,885.  Kati ya laini hizo, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi ni 439,470 na simu za mezani ni 7,415 ambao ni sawa na asilimia 23.6 na asilimia 0.4 ya wakazi wa Zanzibar.  Kwa mujibu wa sensa ya watu na…

Read More

Vivuko Kigamboni, zigo zito kwa Temesa-2

Dar/Mikoani. Kama umewahi kuhisi maumivu ya kutwishwa mzigo mzito zaidi ya nguvu zako, basi hali hiyo ndiyo inayoukabili Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), katika jukumu la uendeshaji wa vivuko nchini. Temesa inatekeleza jukumu hilo kwa mujibu wa sheria ya kuanzishwa kwake ya mwaka 2005, inayotaka pamoja na majukumu mengine ya msingi, wakala huo uwajibike…

Read More

Wajanja sekta ya ardhi wawapiga  hadi mawaziri na wabunge

Dodoma. Unaweza kusema kuti la mazoea limemuangusha mgema, msemo unaoendana na kile kinachowakuta wabunge, manaibu waziri na mawaziri kupigwa viwanja na wajanja. Pengine walijua wanaopigwa ni wanyonge peke yao na kuchelea kuwabaini na kuwakomesha wachache waliokuwa na tabia hiyo, wamekubuhu sasa wanawatapeli hadi watunga sheria wa nchi. Hali hiyo imemsukuma Waziri wa Ardhi, Nyumba na…

Read More