FCC, TRADEMARK AFRICA ZASAINI MKATABA WA BIL.1.5

Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio, (wa pili kulia), na Mkurugenzi wa Trademark Africa, Elibariki Shammy, (kushoto) wakisaini mkataba wa mashirikiano kati ya Taasisi hizo Mei 27,2024 Jijini Dar es Salaam  Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio, (kulia), na Mkurugenzi wa Trademark Africa, Elibariki Shammy, (kushoto) wakionesha hati za mikataba baada ya kusaini Jijini Dar…

Read More

Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha jela vijana watatu waliokuwa wanajishughulisha na uzalishaji na usambazaji wa pombe kali bandia. Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa na kukutwa na kemikali hatarishi aina ya ‘ethanol’ isivyo halali. Vijana hao waliohujumiwa adhabu hiyo, ambao walitumia kemikali hiyo kutengeneza vileo…

Read More

BARABARA YA NYENGEDI-RONDO KUJENGEWA KWA KIWANGO CHA LAMI,KIONGOZI WA MWENGE MNZAVA AWEKA JIWE LA MSINGI

Na Elizabeth Msagula Lindi, Wananchi wa kijiji cha Mkangambili na Nyengedi halmashauri ya Mtama Mkoani Lindi wamefurahishwa kwa hatua ya kuanza kwa ujenzi wa barabara ya Nyengedi-Mnara -Rondo yenye urefu wa km 1.15 kwa kiwango cha lami . Wakazi hao wamesema barabara hiyo itakapokamikika itawasaidia kuunganisha mawasiliano kati ya wananchi wa Nyengedi na Rondo na…

Read More

Miradi yote kupimwa ubora kabla Serikali kukabidhiwa

SPIKA wa Bunge, Dkt. Tulia Akson ameisisitiza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) kuhakikisha miradi yote ya barabara inayokamilia inapimwa ubora kwa kutumia vifaa maalum kabla ya Makandarasi kuikabidhi kwa serikali. Dkt Tulia amesema hayo leo tarehe 27 Mei 2024 Bungeni Jijini Dodoma wakati akifungua Maonesho ya siku mbili ya sekta ya Ujenzi…

Read More

Nida: Msitafute vitambulisho kwa matukio

Dar es Salaam. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imesema wananchi wanapaswa kuacha kufuatilia kupata vitambulisho hivyo kwa matukio na badala yake kuhakikisha wanakuwa navyo mapema. Wito huo umetolewa na Ofisa Habari wa Mamlaka hiyo, Geofrey Tengeneza, alipozungumza na Mwananchi Digital, iliyokuwa inafuatilia ongezeko la watu wanaofika kupata huduma katika ofisi mbalimbali za mamlaka hiyo…

Read More