Wafanyabishara nchi sita jirani kunufaika fursa kiuchumi Bandari ya Tanga
Bandari ya Tanga imepanua wigo wa kibiashara kutokana na uboreshaji wa miundombinu uliofanyika na kuifanya kuwa lango kuu la kibiashara na uwezo wa kuhudumia wateja kutoka nchi jirani. Miongoni mwa nchi ambazo zitanufaika na bandari hiyo ni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda, Burundi, Uganda, Zambia, Malawi na Zimbabwe. Sababu ya bandari hiyo kuwa lango…