MATARAJIO YA SERIKALI NI KUONA UZALISHAJI KATIKA KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA UNAREJEA KWA HARAKA: WAZIRI NDEJEMBI

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, MVOMERO WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema ni matarajio ya Serikali kuona uzalishaji katika kiwanda cha sukari cha Mtibwa unarejea kwa haraka. Mhe. Ndejembi ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipofika katika kiwanda hicho ili kujionea mwenyewe hali halisi iliyopelekea ajali…

Read More

Serikali kuzindua sera ya Taifa Uchumi wa Buluu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Sera ya Taifa ya Uchumi wa Buluu inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Juni 5, mwaka huu wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yatakayofanyika kitaifa jijini Dodoma. Sera hiyo ya mwaka 2024 inalenga kuimarisha mfumo jumuishi wa uratibu miongoni mwa wadau wanaosimamia na kutekeleza shughuli za Uchumi wa Buluu…

Read More

Simbachawene awapa ujumbe mawakili wa Serikali kupambana na wananchi, TLS yatoa neno

Dodoma. Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Simbachawene amewataka mawakili kuwa makini dhidi ya rufaa zinazokatwa na Serikali. Amesema wamekuwa wakipokea malalamiko kutoka wananchi dhidi ya rufaa zinazokatwa na Serikali na kuwataka mawakili kuwa waangalifu kwenye suala hilo.  Akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo mawakili wa Serikali leo Jumatatu,…

Read More

OCE: Serikali ifanye tathmini ya athari za kimazingira ujenzi wa bomba EACOP

Na Grace Mwakalinga, Mtanzania Digital SHIRIKA la Organization for Community Engagement (OCE), limeiomba Serikali kufanya tathmini ya athari za kimazingira zinazoweza kutokea kutokana na ujenzi wa bomba la mafuta ghafi (EACOP) linalojengwa kuanzia Kabaale – Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani jijini Tanga -Tanzania. Ombi hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Shirika hilo, Richard Senkondo, Mei 27,2024…

Read More

Spika Tulia atoa neno barabara zenye mashimo

Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ametoa agizo kwa mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuhakikisha wanatoa taarifa za barabara zinazohitaji matengenezo haraka ili kuepusha ujenzi upya usio wa lazima. Akizungumza leo Jumatatu, Mei 27, 2024, wakati akifungua maonyesho ya sekta ya ujenzi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Dk…

Read More

GGML inavyowezesha walemavu Geita – MICHUZI BLOG

KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani (WGC), wanaendesha mradi wa kusaidia…

Read More