TANZANIA, UFARANSA ZAENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI

UHUSIANO Baina ya Tanzania na Ufaransa umeendelea kuimarika hususani katika masuala ya biashara na uwekezaji ambapo kampuni zipatazo 27 kutoka nchini Ufaransa zimewasili nchini na kukutana na wafanyabiashara wa Tanzania na kujadili namna ya kufanya biashara na uwekezaji utakaonufaisha mataifa hayo mawili kwa kuangazia masuala ya muindombinu na usafirishaji, nishati, ukuaji wa miji na sekta…

Read More

Marufuku wananchi kuchangia maji na wanyama

Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo Mathew amezilekeza Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira mkoani Morogoro (MORUWASA), Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) pamoja na Bonde la Wami Ruvu kukamilisha miradi ya maji ili kutimiza lengo la Serikali juu ya upatikanaji wa maji kwa 95% mijini na 85% vijijini ifikapo…

Read More

Usimamizi wa matumizi salama ya mtandao

Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii ni suala muhimu katika jamii ya leo inayojikita katika teknolojia. Mitandao ya kijamii imerahisisha mawasiliano na kuwezesha watu kuungana na wengine ulimwenguni kote. Hata hivyo, ni muhimu kuwa na mwongozo wa jinsi ya kutumia mitandao hii kwa njia yenye tija na yenye kuheshimu wengine. Hata hivyo, ni dhahiri kuwa …

Read More

Mkutano wa mwaka wa WHO waanza Geneva – DW – 27.05.2024

Wanachama 194 wa WHO wanapanga kuanzisha miongozo ya vipaumbele vya miaka minne ijayo, ikiwa ni pamoja na mpango wa kuiondoa kabisa Malaria katika baadhi ya mataifa ifikapo 2030, lakini pia hatua ya kukabiliana na ongezeko linaloibua kitisho la usugu wa bakteria, fangasi, virusi, na vimelea. Hafla ya kutiliana saini mkataba wa WHO kuhusu majanga, iliahirishwa…

Read More

Miili minne yapatikana ajali ya mtumbwi Katavi

Katavi. Miili ya watu wanne kati ya saba wanaohofiwa kufariki dunia kwa ajali ya mtumbwi katika Mto Lunguya uliopo Kitongoji cha Lunguya Kijiji cha Mwamapuli mkoani Katavi imepatikana. Mtumbwi huo uliokuwa umebeba watu 14 na mizigo ya mazao ulipinduka Mei 26, 2024 ukidaiwa kuzidiwa na uzito na watu saba kuzama majini. Akizungumza na Mwananchi leo…

Read More

Beatrice akamatwa kwa kumuua mume wake

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Beatrice Kwayu kwa tuhuma za kumuua Evagro Msele ambaye ni mume wake kwa kutumia kitu chenye ncha kali mgongoni wakati alipokuwa akitoka nyumbani kwa mke Mdogo katika kata ya Kiruo Vunjo Mashariki Philip Msele ndugu wa marehemu amesema baada ya mke Mkubwa kubaini…

Read More

Kinana aungana na Tale kugawa mitungi ya gesi 800

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amesema kampeni ya nishati safi iliyoanzishwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan inalenga kumtua mwanamke mzigo wa kuni kichwani na kumpa muda mwingi wa kujikita katika shughuli za maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro… (endelea). Kinana ametoa kauli hiyo jana Jumapili wakati akizungumza na wakazi…

Read More