Makonda apiga marufuku hospitali kuzuia maiti

Monduli. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amepiga marufuku hospitali za mkoa huo kuzuia maiti kwa sababu ya kushindwa kulipa madeni ya gharama za matibabu. Amesema kazi ya huduma ya afya ni kazi ya wito ya kumtanguliza Mungu na kuwa katika baadhi ya maeneo wameona kuna changamoto na wanaotuhumiwa ni wataalamu wa afya, wkiwemo…

Read More

Wazanzibar watarajia makubwa kutoka NMB Pesa Akaunti

Wateja wapya wa Benki ya NMB wa Zanzibar wanatarajia neema kubwa kimaisha baada ya kujumuishwa katika mfumo rasmi wa fedha na taasisi hiyo kupitia kampeni yake ya “NMB Pesa Haachwi Mtu”. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Matumaini hayo kwanza yanatokana na kuweza kufungua akaunti ya NMB Pesa kidijitali kigezo kikubwa kikiwa ni ada ya Sh1000 tu na…

Read More

GGML inavyowezesha watu wenye ulemavu Geita

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani…

Read More

Bajeti ya wizara ya elimu yapita, waziri akibanwa

Unguja. Licha ya kuipitisha bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi walitishia kuizuia bajeti hiyo wakimtaka Waziri mwenye dhamana, Lela Muhamed Mussa kuwapa majibu yanayoridhisha kuhusu ubora wa miundombinu ya elimu. Maeneo yaliyoibua hoja yalikuwa ni miundombinu, mitalaa, masilahi ya walimu na elimu ya juu, upatikanaji wa vifaa…

Read More

TANZANIA YASHIKA UKURUGENZI WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA.

Na. Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, WF – Nairobi. Tanzania inatarajia kushika nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji mbadala (Alternative Executive Director) katika Kundi la Magavana wa Afrika Mashariki katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kuanzia mwezi Agosti, 2024. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba ameyasema hayo kwa niaba ya Waziri wa Fedha,…

Read More