Makonda: Nitawapiga spana wazembe mpaka wanyooke

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema hatishiki na kauli zinazotolewa na baadhi watu wanaomkosoa na kuwa atawapiga ‘spana’ (atawasema) wazembe hadi wanyooke. Amesema kauli hizo za wakosoaji zinamsaidia kufanya kazi kwa morali kubwa zaidi. Makonda ametoa kauli hiyo zikiwa zimepita siku nne tangu alipodaiwa kumdhalilisha mhandishi wa kike katika halmashuri ya Longido…

Read More

BASHUNGWA AKAGUA MAONESHO YA SEKTA YA UJENZI – BUNGENI

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, amekagua mabanda ya Maonesho ya Sekta ya Ujenzi ambayo yanalenga kutoa elimu na huduma kuhusu kazi zinazofanywa na Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake. Maonesho hayo yanayotanyika kwa siku mbili katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma kuanzia leo Mei 27, 2024 hadi Mei, 28 mwaka huu. Maonesho hayo yataambatana na…

Read More

Bashungwa akagua maonesho ya sekta ya ujenzi bungeni

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, amekagua mabanda ya Maonesho ya Sekta ya Ujenzi ambayo yanalenga kutoa elimu na huduma kuhusu kazi zinazofanywa na Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake. Maonesho hayo yanayotanyika kwa siku mbili katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma kuanzia leo Mei 27, 2024 hadi Mei, 28 mwaka huu. Maonesho hayo yataambatana na…

Read More

KINANA AKABIDHI MITUNGI YA ORYX KWA WANANCHI WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI MASHARIKI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Mwandishi Wetu,Ngengere MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Hamis Taletale kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas wamekabidhi mitungi ya gesi na majiko yake zaidi ya 800 kwa wananchi wa jimbo hilo. Lengo la kukagawa mitungi hiyo ni sehemu ya muuendelezo wa kuunga mkono jitihada za Rais Dk.Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha matumizi…

Read More

Wabunge walia na malimbikizo madeni ya watumishi wa umma

Dodoma. Wakati wabunge wakihoji malimbikizo ya madeni ya mishahara na stahiki nyingine za watumishi wa umma, Serikali imesema imetumia Sh219 bilioni kulipa madeni ya mishahara yaliyoanza Mei 2021. Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu Neema Mgaya leo Mei 27, 2024, Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…

Read More

POLISI WAENDELEA KUDHIBITI MADEREVA KIDIJITALI, WATATU WAKAMATWA.

Na.Mwandishi, Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linaendelea kutumia mifumo ya Tehama katika kudhibiti makosa ya usalama Barabarani ambapo Jeshi hilo limebainisha kuwa kupitia mfumo huo mei 27 muda wa alfajiri limewabaini madereva watatu ambao wamevunja sheria za usalama Barabarani. Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa…

Read More