Mkataba wa Tanesco, Songas watakiwa bungeni

WAKATI mkataba wa Ununuzi wa Umeme kati ya Shirika la Umeme nchini (TANESCO) na Kampuni ya kuzalisha umeme -SONGAS ukitarajiwa kufikia ukomo tarehe 31 Julai, 2024, wabunge wameitaka Serikali kuwasilisha bungeni nyongeza ya mkataba huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).  Hayo yamebainishwa leo Jumatatu bungeni jijini Dodoma na Mbunge wa Viti Maalum, Jesca Kishoa ambaye…

Read More

Sakata la Toto Afya Kadi laibuka tena bungeni

Dodoma. Sakata la Toto Afya Kadi limetinga tena bungeni na Serikali imeendelea kusisitiza msimamo wake kuwa kilichobadilika ni utaratibu wa kujiunga kupitia makundi, badala ya mtoto mmoja mmoja. Mbunge wa Viti Maalum Rehema Migila ndiye aliyeibua suala hilo katika kipindi cha maswali na majibu leo Mei 27, 2024. “Je, Serikali ina mpango gani wa kuwasaidia…

Read More

Madeni ya bilioni 219 yalipwa, wadai wengine waitwa

SERIKALI imesema kuanzia Mei mwaka 2021 hadi sasa imelipa madai ya malimbikizo ya mishahara ya watumishi 132,611 yenye thamani ya Sh 219.7 bilioni. Aidha, imetoa wito kwa waajiri wote nchini hususanu wakurugenzi wa halmashauri kuhakiki na kuwasilisha madeni ya watumishi kwa ajili ya taratibu za uhakiki na malipo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia imewataka…

Read More

WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI JIJINI DODOMA

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, bungeni jijini Dodoma, Mei 27, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki anyeshughulikia Afrika ya Mashariki ambaye pia ni Mbunge wa…

Read More

Maombi ya Amani,siku ya Ukumbusho 2024 Marekani

Jumatatu ya Tarehe 27 Mei 2024 inatambuliwa kuwa Siku ya Kumbukumbu kote Marekani na ni siku ya kuwakumbuka wanawake na wanaume waliotoa maisha yao kwa niaba ya nchi yao. Siku ya Ijumaa, Ikulu ya Marekani ilitoa tangazo la rais, lenye kichwa “Tangazo la Maombi ya Amani, Siku ya Ukumbusho, 2024.” “Natumai utapata kiasi kidogo cha…

Read More

Marufuku mikopo kausha damu wilayani Mbogwe

Mkuu wa wilaya ya Mbogwe Bi. Sakina Mohamed amepiga Marufuku Mikopo umiza katika wilaya yake kwa madai imekuwa haiko kisheria kutokana na Akina Mama wengi kulizwa kwa kuongezwa riba zisizokuwa na lengo la Kumnyanyua mwanamke kiuchumi. Akizungumza katika Hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Mwanamke na Samia wilayani humo Sakina amesema kumekuwepo na Kesi nyingi…

Read More

Traore kuongeza miaka mitano madarakani

Burkina Faso. Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso inayoongozwa na Kapteni Ibrahim Traoré, imetangaza kuwa itaongeza muda wa utawala wa kijeshi kwa miaka mingine mitano. Traore ataruhusiwa kugombea katika uchaguzi ujao wa urais, kulingana na shirika la utangazaji linalomilikiwa na Serikali. Alipoingia madarakani kwa mapinduzi mwaka 2022, Kapteni Traoré aliahidi kurejesha Serikali ya kiraia kufikia…

Read More