
Askofu Shoo: Chagueni viongozi wenye hofu ya Mungu
Mtwara. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuwakataa viongozi wabinafsi hasa wanaowatelekeza wapigakura baada ya kushinda uchaguzi. Akizungumza kwenye ibada ya kitaifa katika kilele cha maadhimisho ya siku ya CCT iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) mjini Mtwara jana Mei 26, 2024, Askofu Shoo amesema kuwa…