Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na Tanzania Zaungana Kupambana na Usugu Wa Vimelea Vya Magonjwa Dhidi ya Dawa (UVIDA) na Magonjwa Ya Zuonotiki

Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID), wanajivunia kuzindua kampeni ya “Holela-Holela Itakukosti” ambayo imezinduliwa Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hii unasisitiza mbinu kamilifu ya ” Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya…

Read More

Tanzania yasaini Mkataba wa Kihistoria wa Kimataifa wa WIPO

Tanzania yaungana na nchi wanachama wa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kupitisha na kusaini Mkataba wa kihistoria wa kimataifa kuhusu Miliki Ubunifu, Rasilimali za Kijenetiki na Maarifa ya Jadi. Mkataba huo unalenga kulinda haki za wenyeji asilia na jamii za kijadi katika kuhakikisha matumizi ya rasilimali za kijenetiki na maarifa ya jadi katika tafiti…

Read More

WAZIRI JAFO ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA KUPANDA MTI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewahimiza Watanzania kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Amesema suala la hifadhi ya mazingira ni ajenda muhimu hivyo kila mwananchi anao wajibu wa kupanda miti na kuitunza ili kulinda mazingira. Dkt. Jafo ametoa…

Read More

CDE. MBETO AMTAKA JUSSA KUACHA SIASA ZA KIHARAKATI.

NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo Khamis Mbeto Khamis, amewataka viongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo kuacha upotoshaji juu ya mchakato wa zabuni za makampuni ya uingizaji wa mafuta nchini kwani kampuni ya GBP ndio iliyokidhi vigezo na kupewa tenda hiyo kwa mujibu wa sheria. Alisema mchakato…

Read More

Mke adaiwa kumuua mumewe nyumbani kwa mzazi mwenzake

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Beatrice Elias (36), mkazi wa Mtaa wa Katanini Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua mumewe, Ephagro Msele (43)  kwa madai ya kumkuta kwa mzazi mwenzake. Kwa mujibu wa watu wa karibu na Msele, Mei 25, 2024, Beatrice baada ya kutoka msibani alikokuwa na mumewe, alimfuatilia kila…

Read More