
Mahitaji ya Virutubishi vya chakula ni ajenda yua Kitaifa-Mhagama
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amesema mahitaji ya virutubishi vya chakula ni ajenda kubwa ambayo itachochea katika kuongeza ajira kwa wakulima na kuwa na uhakika na virutubishi vinavyotumika hapa nchini. Nyangwaka Ndili kutoka Jukwaa la Wasindikaji akieleza jambo mbele ya Waziri wa…