Kwanini kilimo na afya ya udongo ni tatizo Afrika?

Leo ikiwa ni siku ya Afrika,tujadili hili la kilimo na usalama wa udongo Afrika, athari zake bila kusahau utatuzi wake. Lugha ya sokoni kati ya wauzaji na wanunuzi katika masoko ya kawaida ya watu wa hali ya chini wanaoishi chini ya dola mbili kwa siku barani Afrika sasa hawaongei lugha moja katika maelewano ya mteja…

Read More

Frateri aliyejinyonga azikwa bila sala, mama ashindwa kuhudhuria

Moshi. Wakati mamia wakijitokeza kumzika Frateri Rogassian Massawe anayedaiwa kujinyonga, mama yake mzazi, Levina Hugo ameshindwa kuhudhuria maziko hayo. Frateri huyo ambaye amezikwa leo Jumamosi Mei 25, 2024 nyumbani kwao katika Kijiji cha Umbwe Onana wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, anadaiwa kujinyonga Mei 20, 2024 kwa kutumia mshipi akiwa kwenye nyumba yao ya malezi ya…

Read More

MBUNGE ABOOD ATAKA WANAHABARI KUELEZA YANAYOFANYWA NA DKT.SAMIA

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Dokta Abdulaziz Abood amewataka waandishi wa habari mkoani Morogoro Kutumia kalamu zao vizuri kwa kuandika masuala mbalimbali yatakayo leta matokea chanya nchini. Mhe. Mbunge amesema hayo wakati akihojiwa na kituo hiki kuhusu mtazamo wake uhuru wa vyombo vya habari nchini. ambapo amesema wanahabari wananafasi kubwa Kuhamasisha masuala mbalimbali…

Read More

Mbunge Abood awataka wanahabari kueleza yanayofanywa na rais Samia

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Dokta Abdulaziz Abood amewataka waandishi wa habari mkoani Morogoro Kutumia kalamu zao vizuri kwa kuandika masuala mbalimbali yatakayo leta matokea chanya nchini.   Mhe. Mbunge amesema hayo wakati akihojiwa na kituo hiki kuhusu mtazamo wake uhuru wa vyombo vya habari nchini. ambapo amesema wanahabari wananafasi kubwa Kuhamasisha masuala…

Read More

Wauguzi na wakunga tisa wasimamisha kutoa huduma

Dodoma. Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewasimamisha kutoa huduma wauguzi na wakunga tisa huku wengine wanane wakipewa onyo, baada ya kushindwa kudumisha viwango vya taaluma na maadili. Kwa mujibu wa tovuti ya baraza hilo, uamuzi huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa TNMC, Profesa Lilian Mselle, baada ya baraza hilo kukaa na kusikiliza tuhuma…

Read More