Mstaafu anapotamani kurudisha kadi yake ya ustaafu!

Pamoja na miaka 66 aliyo nayo, mstaafu wetu anamiliki anachoita kitambulisho kimoja tu kinachomtambulisha kuwa yeye ni mstaafu wa shirika lililokuwa kubwa enzi zake la ‘nanihii’, alichopata siku alipostaafu kwa hiari yake miaka 15 iliyopita! Mstaafu wetu pia ana tarakimu za kadi ya Nida, sio kadi yenyewe, aliyoiomba miaka sita iliyopita, lakini akakata tamaa na…

Read More

Samia, Dk Nchimbi wanavyoanza kuzisaka kura mikoani

Kampeni za wagombea urais na mgombea mwenza wa Chama cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea leo Ijumaa, Agosti 29, 2025 katika maeneo tofauti nchini. Wakati, mgombea urais, Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Morogoro, mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi ataanza kuchanja mbuga mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye wapigakura wengi, akianzia Mwanza. Kwa mujibu wa takwimu za sensa…

Read More

SAMIA SCHOLARSHIP YACHOCHEA UBUNIFU WA KISASA NELSON MANDELA, TAASISI YAANZA KUONA MATUNDA

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Prof. Maulilio Kipanyula, akisoma hotuba wakati wa Mahafali ya 11 yaliyofanyika Agosti 28, 2025, ambapo jumla ya wahitimu 111 walitunukiwa shahada mbalimbali za Umahiri na Uzamivu. …… TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imejivunia kutimiza malengo matano…

Read More

Singapore na Tanzania zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

………….. Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake.   Makubaliano hayo ambayo yatatekelezwa kupitia Programu ya Ushirikiano wa Singapore (Singapore Cooperation Program), yamefikiwa…

Read More