
Mkutano wa G7 wajadili vita vya Ukraine na Gaza – DW – 25.05.2024
Kundi la Mataifa tajiri ulimwenguni la G7 limesema linajadiliana juu ya namna watakavyotumia mapato ya baadaye ya mali za Urusi walizozizuia ili kuisaidia Ukraine ambayo inakabiliana na uvamizi wa Urusi. Wakuu wa taasisi za kifedha wa kundi hilo wamesema hayo siku ya Jumamosi (25.05.2024), hii ikiwa ni kulingana na rasimu ya taarifa ambayo shirika la…