Heineken yashiriki mapambano dhidi ya uharibifu wa mazingira

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Heineken Tanzania kwa kushirikiana Lead Foundation wameanza mkakakati wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira na kuoambana na mabadiliko ya tabianchi kwa kuoanda miti ili kurejesha misitu mkoani Dodoma. Lengo la ushirikiano huo ni kufanya mipango endelevu ya kurejesha misitu iliyoharibiwa na kulinda mazingira. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni,…

Read More

Heinken yanunua kampuni za Distell na Namibia Breweries

Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital Kampuni ya Heinken imetangaza kununua kampuni ya Distell Group Holdings(‘Distell’) na ile ya Namibia Breweries (NBL) ambapo ununuzi huo unafikia zaidi ya Euro Bilioni 1 katika mapato halisi. Pia, ununuzi huo umefikia Euro milioni 150 katika faida ya uendeshaji wa nyayo zao za Afrika ambapo utachangia kwa kiasi kikubwa ukuaji…

Read More

Marekani, Kenya kuimarisha ushirikiano wa biashara, uchumi – DW – 25.05.2024

Rais wa Kenya William Ruto alikuwa Washington kwa ziara ya Kiserikali wakati Ikulu ya Marekani ilipoahidi ushirikiano mpya kuhusu teknolojia, usalama na msamaha wa madeni kwa demokrasia hiyo ya Afrika Mashariki. “Wawekezaji wanapenda kile wanachokiona nchini Kenya,” Ruto alisema, akiwavutia viongozi wa biashara kwenye hafla, na kuahidi kurahisisha ufanyaji biashara. Waziri wa Biashara wa Marekani…

Read More

Sh9 bilioni kujenga kituo jumuishi utoaji haki Pemba

Pemba. Kujengwa kwa kituo jumuishi cha utoaji wa haki za kimahakama Kisiwani Pemba, kutawaondolea usumbufu wananchi kufuata huduma ikiwamo ukataji rufaa.  Mtendaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Kai Bashiru Mbarouk amesema hayo leo Mei 24, 2024 katika hafla ya utiaji saini mkataba kati ya Mahakama ya Tanzania na Kampuni ya M/S Deep Construction Ltd…

Read More