
Vijana 2,000 kujadili ajenda, nafasi za uchaguzi 2024/25
Dodoma. Zaidi ya vijana 2,000 kutoka vyama vya siasa, asasi za kiraia na Serikali wanatarajiwa kushiriki mdahalo wa kitaifa wa vijana kutoa mapendekezo kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Mdahalo huo utajadili masuala kadhaa ikiwemo utekelezaji wa ajenda za kundi hilo, ikiwa ni sehemu ya kuangalia utendaji katika miaka mitatu ya Rais Samia madarakani na mwelekeo…