
ONGEZEKO LA WAHITIMU LAZIDI KUPAA SUA
Na Farida Mangube, Morogoro Idadi ya Wahitimu katika Mahafali ya katikati ya mwaka kwa masomo katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) imeongezeka kutoka Wahitimu 274 kwa mwaka 2023 hadi 777 kwa mwaka 2024 ambapo kati ya hao watunukiwa wanawake ni 284 sawa na asilimia 36.5 ya wahitimu wote. Amebainisha hayo Makamu wa Mkuu…