Waziri Slaa aeleza hatima nyumba za miradi ya NHC

Dodoma. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeliomba Bunge kuwaidhinishia Sh171.37 bilioni huku ikisema ujenzi wa mradi wa Kawe 711 utakamilika mwaka 2026. Waziri Jerry Silaa leo Mei 24, 2024 amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25 na kusema mwaka 2023/2024 Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), lilipanga kukamilisha ujenzi wa…

Read More

RC Mara apiga marufuku wasaidizi wake kusikiliza kero

Serengeti. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amepiga marufuku tabia ya baadhi ya wasaidizi wake pamoja na  watumishi katika ofisi yake kuwasikiliza wananchi wenye kero na changamoto kwa niaba yake badala yake ameagiza kila mwananchi mwenye kero  anayefika ofisini kwake  aruhusiwe ili aweze kumskiliza yeye mwenyewe kwanza. Mtambi ametoa maagizo hayo leo Mei 24,2024…

Read More

Dkt.Jingu awafunda wasimamizi wa miradi wizara ya afya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewapa somo Wasimamizi wa Miradi Wizara ya Afya juu ya umuhimu wa kuhakikisha Miradi ya Maendeleo inaimarisha Maisha na uasalama wa Wananchi kwa kukidhi mahitaji kijamii, na kuleta matokeo chanya yenye manufaa na tija kwa jamii na sio kuiangamiza. Dkt. John Jingu, amesema hayo Mei 23,…

Read More

Lishe duni kwa vijana inavyoathari afya ya uzazi

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu wa virutubisho muhimu kwa watoto na vijana unaelezwa kuathiri via vya uzazi. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe, Wizara ya Afya, Neema Joshua anasema udumavu, uzito pungufu, ukondefu, uzito kupita…

Read More

Serikali imedhamiria kuongeza ushiriki wa wananchi katika kujenga uchumi wa viwanda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuongeza ushiriki wa wananchi katika kujenga uchumi wa viwanda, kuongeza kipato kwa wananchi wengi na kuleta uwiano mzuri wa kiuchumi na kijamii mijini na vijijini. Majaliwa ameyasema hayo Mei 23, 2024 kwenye ufunguzi wa Kongamano la Pili la Biashara na Uwekezaji baina ya Uganda na Tanzania, jijini, Dar-es-Salaam….

Read More

WAZIRI KAIRUKI AMPONGEZA RAIS SAMIA KUTOA MAGARI KWA KANDA ZOTE ZA TFS NCHINI, KUWA KINARA WA NISHATI SAFI AFRIKA

Na John Mapepele Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe Angellah Kairuki amempongeza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa magari 22 kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) yatumike kwenye usimamizi wa rasilimali za misitu na nyuki nchini ili kuwakomboa wanawake waachane na nishati chafu za kuni na…

Read More

Dc Nsemwa ahamasisha michezo kwa watumishi

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mhe. Rebecca Nsemwa ametoa Wito kwa wafanyakazi kuwa na utamaduni wa Kufanya mazoezi mara kwahe mara Ili kuepukana na magonjwa yasiyo ambukiza. Dc Nsemwa amesema hayo wakati aliposhiriki bonanza la Michezo lililoandaliwaJeshi na (JWTZ) Shirika la Mzinga la Kikosi cha Mazao yaliyofanyika Katika viwanja vya shirika hilo Dc Nsemwa amesema…

Read More

Msimu wa mvua ukiisha, madalali watajwa kupanda bei ya mbogamboga

Dar/mikoani. Wakati msimu wa mvua ukimalizika ukitajwa kuwa chanzo cha baadhi ya bidhaa za mbogamboga kupanda bei sokoni, kumeibuka sababu mpya madalali na walanguzi wa mbolea wakitajwa. Ingawa baadhi ya bidhaa za viungo na mbogamboga zimeanza kushuka bei, wachuuzi wanasema walanguzi wa mbolea na madalali wasipodhibitiwa hali inaweza kuwa mbaya. Katika masoko yaliyofikiwa na Mwananchi…

Read More

RC Morogoro awapongeza wauguzi kwa utendaji kazi

Katibu tawala mkoa wa Morogoro Dokta Mussa Ally Mussa amesema licha ya kukumbana na Changamoto mbalimbali lakini wamekua wakitoa huduma Bora Kwa wagonjwa ambapo amewataka kuepukana na vitendo viovu vinavyoweza kuwaharibika kazi ikiwemo rushwa ,dharau na ligha mbaya. Dokta Mussa ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani ambapo kwa Mkoa Morogoro yamefanyika Morogoro…

Read More