Dc Mkinga awataka watendaji kutumia vizuri matokeo ya sensa kwenye kupanga ujenzi wa miradi kwenye maeneo yao.

Mkuu wa wilaya ya Mkinga Gilbert Kalima amewataka viongozi wa serikali za mitaa,kata,tarafa na wilaya kuhakikisha wanatumia matokeo ya sensa katika kupanga mipango endelevu ya kuwaletea maendelo kwenye maeneo yao. Kalima ameyasema hayo kwenye mafunzo ya usambazaji na matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi,kwa viongozi na watendaji wa wilaya ya Mkinga mkoani…

Read More

Wasimulia mauaji ya Penina wa Goba

Dar es Salaam. Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina. Kamanda…

Read More

Ugonjwa wa vikope watesa Pwani

Kibaha. Watu 1,627 waliokutwa na ugonjwa wa vikope kwenye halmashauri tatu za Mkoa wa Pwani wameendelea kupata matibabu ili kuepuka upofu. Idadi hiyo imebainika kufuatia utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya ikishirikiana na  taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Sightsavers yenye makao yake makuu nchini Uingereza. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa mkoa wa Pwani  Dk…

Read More

BENKI ZAJIPANGA KUFUNGUA TAWI MICHEWENI ZANZIBAR

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa idhini kwa Benki ya PBZ kufungua tawi katika eneo la Konde lililopo katika wilaya ya micheweni na matayarisho ya kufungua tawi hilo yanaendelea. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali la…

Read More

TANROADS kuweka kambi barabara ya Kiranjeranje-Ruangwa kurejesha mawasiliano

Huenda Adha ya usafiri na usafirishaji bidhaa inayowakabili wananchi wanaotumia barabara ya Kiranjeranje kwenda Ruangwa ikafikia tamati baada ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi kutangaza kutia kambi eneo hilo ili kuhakikisha njia inapitika. kambi hiyo inalenga kuondoa taabu wanayokutana nayo wananchi kwa sasa katika usafirishaji wa bidhaa wanazozalisha na hata wasizozalisha kutokana…

Read More

IGP Wambura ataja vigezo Polisi Tanzania kuwa jeshi bora

Mwanza. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camilius Wambura amesema anaamini ipo siku jeshi hilo litakuwa jeshi bora duniani, huku akitaja vigezo vitatu vitakavyolifanya kufikia lengo hilo. Wambura ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Mei 24, 2024, wakati wa hafla ya kuwavisha nishani maofisa, wakaguzi na watendaji 574 wa jeshi hilo mikoa ya Kanda ya…

Read More