Naibu Spika Zungu auliza swali kwa mara ya kwanza

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu ameshauri Serikali kutumia kipengele cha dharura katika Sheria ya Manunuzi ya Umma, ili kuharakisha mchakato wa barabara zilizoharibiwa na mvua kwenye majiji ikiwemo jiji la Dar es Salaam. Hii ni mara ya kwanza kwa Zungu kuuliza swali akiwa katika kiti chake cha ubunge tangu alipochaguliwa kushika nafasi hiyo….

Read More

Urusi yasema IS ilihusika na shambulizi la Moscow – DW – 24.05.2024

Shambulio ambalo linatajiwa kuwa baya zaidi la kigaidi kuwahi kutokea katika miongo miwili iliyopita. Haya yanajiri huku mapigano yakiripotiwa kuongezeka katika eneo la Kharkiv.  Shirika la habari la Urusi, RIA Navosti limenukuu mkuu wa Idara ya usalama ya Urusi FSB, Alexander Bortnikov, akisema, katika kipindi cha uchunguzi, imebainika kuwa maandalizi, ufadhili, shambulio na kurudi nyuma…

Read More

Umuhimu wa tiba za dharura katika kuokoa maisha

Tanga. “Sitasahau. Nilitumwa shambani kuangua nazi, yalikuwa maamuzi mapesi tu, kwani nilinyanyuka na kubeba kikapu changu na kwenda kukwea mnazi, lakini kabla sijamaliza kuangua nilidondoka chini na kupoteza fahamu,” anasema Elly Kimodoa (23), mkazi wa kata ya Fungo, wilaya ya Muheza. Anasema pengine familia yake isingemtuma kwenda kuangua nazi shambani, ajali hiyo asingekutana nayo na…

Read More

MWENGE WA UHURU WATUA LINDI, KUTEMBELEA MIRADI 53

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack leo, Mei 24, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa  mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ambapo unatarajia kuweka mawe ya msingi , kuweka ma we ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 45.9 Makabidhiano ya Mwenge…

Read More

14 kuvaana ubunge Kwahani, Chadema, ACT Wazalendo wakisusa

JUMLA ya wagombea 14 kutoka vyama vya siasa vyenye usajili kamili wameteuliwa kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar huku vyama vikuu vya upinzani Chadema na ACT Wazalendo vikikacha uchaguzi huo. Anaripoti Mwandishi wetu, Zanzibar … (endelea). Hatua hiyo imekuja baada ya vyama hivyo kuendeleza msimamo…

Read More

Cassie avunja ukimya baada ya kutolewa kwa video inayoonyesha kushambuliwa na P Diddy hotelini

Cassie Ventura azungumza hadharani kwa mara ya kwanza tangu kutolewa kwa video kutoka 2016 ikimuonyesha mpenzi wake wa wakati huo Sean “Diddy” Combs akimshambulia ndani ya hoteli. “Asante kwa upendo na usaidizi wote kutoka kwa familia yangu, marafiki, wageni na wale ambao bado sijakutana nao,” Ventura aliandika kwenye Instagram Alhamisi. “Kumiminika kwa upendo kumeunda nafasi…

Read More