Viwanja 18,840 vyapangwa Songea na mradi wa LTIP

Takribani viwanja 18,840 vimepangwa katika vijiji 7 ambavyo ni Peramiho A, Nguvumoja, Peramiho B, Lundusi, Morogoro, Maposeni na Parangu ambapo lengo la awali lilikuwa ni utoaji wa hatimiliki 10,000 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Halmashauri ya Wilaya ya Songea imeweza kuzidi lengo lililopangwa kwa kuwa wananchi wameupokea mradi na kutambua umuhimu wa maeneo yao…

Read More

NAMANGA SEC. YAFAIDIKA NA JENGO JIPYA LA BWENI CHINI YA UDHAMINI WA LSF KUPITIA SERIKALI YA LUXEMBURG

Namanga, Tanzania – Mei 23, 2024: Shule ya Sekondari ya Namanga leo imezindua kwa fahari jengo lake jipya la bweni, chini ya ufadhili wa Legal Services Facility (LSF) na North-South Cooperation kutoka Luxemburg. Msaada huu unalenga kuboresha miundombinu ya shule, kuwawezesha wanafunzi, hasa wasichana, kupata haki yao ya kupata elimu bora na kuwapa mazingira salama…

Read More

Bilionea wa zao la parachichi anayeingiza Milioni 200 kwa msimu

AyoTV katika kambi iliyoweka Njombe imekutana na Mfanyabiashar na Mkulima maarufu wa maparachichi anaitwa Stiven Mlimbila elimu yake ni darasa la sabab alifaulu ila hakifanikiwa kuendelea masomo sababu ya kipato. Akaanza kufanya kazi ya saidia fundi, akawa fundi ujenzi na baadae akawa anafanya usafi katika Ofisi za Halmashauri Iringa akafukuzwa kazi hela akiwa kazini aliyokusanya…

Read More

Ujerumani yaadhimisha miaka 75 ya katiba – DW – 23.05.2024

Sheria hiyo ya msingi ilianza kutumika tarehe 23 mwezi Mei mwaka 1949, ambayo pia ni tarehe ya kuanzishwa kwa shirikisho la Ujerumani miaka 35 iliyopita. Rais Frank Walter Steinmeier amesema zawadi hiyo kuu kwa Ujerumani haipaswi tu kukumbukwa, inatakiwa kuenziwa, kutunzwa na kulindwa kila siku nchini Ujerumani. Amesema katiba hiyo imeunda mfumo thabiti unaoleta muingiliano…

Read More