Sheria ya habari yatua kwa Mwanasheria Mkuu Z’bar

Unguja. Wakati wadau wa habari wakishinikiza Serikali kukamilisha mchakato wa sheria ya huduma za vyombo vya habari, yenyewe imesema umefikia hatua nzuri na umefika kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakati wowote utafika Katika Baraza la Wawakilishi kujadiliwa. Hayo yamebainika wakati wa maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari mwaka 2024 ambapo…

Read More

PROF. JANABI: MNH-MLOGANZILA KUTENGA ENEO MAALUM KWA AJILI YA KUSHUKIA HELIKOPTA

  Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amekutana na kufanya mazungumzo na wataalam kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania kwa lengo la kujadiliana na kuangalia eneo maalum litakalofaa kwa ajili ya kushuka helikopta zitakazo leta wagonjwa watakaokuja kutibiwa hospitalini hapo. Kwa mujibu wa Prof. Janabi Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila…

Read More