Biteko: Mfanyeni kila anayekuja ofini kwenu aondoke na furaha

Mwanza. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka waandishi na waendesha ofisi (makatibu mahsusi) kuacha kauli za kuvunja moyo wananchi wanapofika kwenye ofisi zao kutatuliwa shida na changamoto wanazopitia. Akifungua mkutano mkuu wa 11 wa kitaaluma wa Chama cha Waandishi na Waendesha ofisi tanzania (Tapsea), jijini Mwanza leo Alhamisi Mei 23,…

Read More

Uongo, uzushi, tiba ya matende, ngiri maji

KUNA uongo na uzushi katika jamii kuhusu wanaume, wanawake na watoto wenye matende na ngiri maji kwamba wamerogwa. Baadhi wanasumbuliwa na imani potofu kuhusu magonjwa hayo. Fikra za kishirikina: Kuna jamaa mmoja aliambiwa utakapofika maeneo ya pwani kama Tanga, Bagamoyo, Dar es Salaam, Zanzibar, Pemba, Mtwara na sehemu kama Kilwa usinywe maji ya madafu na…

Read More

FDH yatoa mafunzo ya lugha ya alama kwa watumishi wa Suma JKT

Na Mwandishi Wetu,Mtanzania Digital KUTOKANA na changamoto ya mawasiliano iliyopo kwa watu wenye ulemavu hususan wasio sikia na wasioona katika taasisi mbalimbali zikiwemo za umma Shirika la kuhudumia watu wenye ulemavu (FDH) limetoa mafunzo ya lugha ya alama kwa watumishi wa Shirika la Uzalishaji mali la Suma JKT. Mafunzo hayo yatasaidia watumishi wa shirika hilo…

Read More

TRA yawang’ang’ania wafanyabiashara Mbeya | Mwananchi

Mbeya. Wakati wafanyabiashara wakifunga maduka katika Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa utitiri wa kodi na unyanyasaji, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mkoani Mbeya imesisitiza kuwa itaendelea kuchukua hatua kwa wanaokiuka utaratibu. Leo Mei 23, 2024 wafanyabiashara hawakufungua wakidai kutoridhishwa na utaratibu wa ukusanyaji mapato, wakidai kuwa wanabambikiziwa tozo nyingi, baadhi…

Read More

WAZIRI BASHUNGWA AFUNGUA MKUTANO WA MAFUNDI SANIFU TANZANIA

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa,akizungumza  wakati akifungua Mkutano wa Sita wa Mafundi Sanifu Tanzania wa Mwaka 2024 ambao umeongozwa na Kauli mbiu “Matumizi ya Akili Mnemba kuongeza ufanisi: Kuimarisha Mafundi Sanifu kwa Changamoto zinazoibuka” leo Mei 23,2024 jijini Dodoma. Msajili wa Bodi ya ERB, Mhandisi Bernard Kavishe ,akizungumza  wakati wa Mkutano wa Sita wa Mafundi…

Read More