Rais Samia muonee huruma Dk. Phissoo

RAIS wangu mama Samia, wiki iliyopita baada ya kuwa nimekuandikia kuhusu upandaji holela wa bei za mafuta ya nishati, mwana mwema mmoja kati ya wengi walioniandikia, alisema; “kwema ndugu mwandishi? Binafsi nakuombea Mungu akulinde na akutete dhidi ya watesi wenye lengo la kuihujumu kalamu yako, maana nijuavyo haya uyaandikayo hawayapendi.  Wanapenda tuendelee kuwa mbumbumbu ili…

Read More

Wazazi Longido wanavyopewa taka za uzazi kwenda nazo nyumbani

Longido. Baadhi ya wanawake wanaojifungua katika Zahanati ya Leremeta iliyopo Kijiji cha Sinya, wilayani Longido, Arusha wanalazimika kupewa taka zitokanazo na uzazi wao ‘kondo’ kwa ajili ya kwenda kuziteketeza majumbani kwao. Kukosekana kwa chemba ya kichomeo taka kwa kutuo hicho ni sababu ya wanawake hao kukutana na magumu hayo. Na kuna wakati wataalam wa afya…

Read More

Tanzania mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Uvuvi barani Afrika (AFRICA SMALL SCALE FISHERIES SUMIT 2024)

Katika jitihada za dhati za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha nchi inakuza uchumi wake, kupitia rasilimali ya maji iliyonayo almaarufu kama Uchumi wa Buluu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeandaa mkutano mkubwa wa Uvuvi baraniAfrika (AFRICA SMALL SCALE FISHERIES SUMIT 2024) utak aohusisha mataifa mbalimbali ya Afrika, utakaofanyika Tanzania. Mkutano huu unalenga …

Read More

GGML inavyookoa walemavu dhidi ya dhana potofu

MKOA wa Geita ni mmoja wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ambayo imeathiriwa na imani za kishirikina. Kila juhudi zimefanyika kuwaelimisha wananchi kuachana na imani potofu kwamba viungo vya watu wenye ulemavu vinasaidia kuvuna rasilimali madini ya dhahabu. Anaandika Gabriel Mushi… (endelea). Serikali na asasi za kiraia zilitumika nguvu ya ziada kuelimisha umma kuachana na…

Read More

Mchengerwa aagiza Tarura wapatiwe Sh250 milioni

Morogoro. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu kuipatia Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) Sh250 milioni za dharura kwa ajili ya kujenga daraja la muda la Mbuga katika mto Luhombero pamoja na ukarabati wa daraja la waenda kwa miguu la Chigandugandu wilayani Ulanga, Mkoa wa Morogoro yaliyoharibiwa kutokana na…

Read More