
PROF.MKENDA KUZINDUA WIKI YA ELIMU,UJUZI NA UBUNIFU JIJINI TANGA
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo, aakizungumza na waandishi habari leo Mei 25,2024 jijini Dodoma kuelekea katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayotarajiwa kufanyika katika viwanja vya michezo vya shul FCe ya sekondari ya Popatlal na ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Bahari Beach, Jijini…