Watu 1,673 wamchangia Lissu Sh. 20 milioni kununua gari

WATU 1,673 wamechanga fedha zaidi ya Sh. 20 milioni kwa ajili ya kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, ili anunue gari jipya baada ya lile la awali lililoshambuliwa na watu wasiojulikana 2017, kuwekwa makumbusho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X,…

Read More

Mchina chini ya ulinzi akituhumiwa kwa utapeli

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa ameagiza kukamatwa kwa raia mmoja wa China, Wang Zhiqiang ambaye anatuhumiwa kwa utapeli. Pia, mkuu huyo wa wilaya ameliagiza Jeshi la Uhamiaji wilayani humo kushikilia hati zake za kusafiria na vibali vyote alivyonavyo raia huyo hadi atakapolipa madeni yote ya wateja wake. Mchina huyo anatemiliki kampuni ya…

Read More

TANESCO YAFIKISHA UMEME VIJIJI 538 RUVUMA

Na Yeremias Ngerangera …Songea. Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Meneja wa Tanesco Mkoa wa Ruvuma Eliseus Mhelela alisema vijiji vinavyopata umeme vimeongezeka kutoka vijiji 489 mwezi marchi 2024 Hadi kufikia vijiji 538 mwezi mei 2024. Mhelele alisema ongezeko Hilo linatokana na kazi zinazofanywa na wakandarasi walioko katika vijiji mbalimbali wakiendelea na kazi ya…

Read More

Serikali yaanika mikakati maandalizi AFCON 2027

Serikali imesema inaendelea kufanya mazungumzo na wadau pamoja na wamiliki wa hoteli kubwa kwa ajili ya kuboresha hoteli hizo ili ziweze kukidhi viwango na hatimaye kuhudumia ugeni wa Fainali za Mpira wa Miguu Barani Afrika (AFCON 2027). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika mashindano hayo, Tanzania ni mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda baada…

Read More

Baraza la Usalama AU kuwakutanisha vigogo Tanzania

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wakiwemo marais wastaafu wanatarajiwa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza Usalama na Amani la Umoja wa Afrika, yatakayojadili pia kuhusu hali ya ulinzi na usalama barani humo. Miongoni mwa washiriki ni Waziri Mkuu wa zamani wa Chad, Moussa Faki Muhammad ambaye ni mwenyekiti wa kamisheni ya Umoja wa Afrika,…

Read More