TMA:  Hakuna tena tishio la kimbunga laly

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, kwa sasa hakuna tena tishio la kimbunga Ialy katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Taarifa ya TMA kwa ummya waliyoitoa saa 4:00 usiku wa jana Jumatano, Mei 22, 2024 ilisema wanahitimisha mfululizo wa taarifa za kilichokuwa Kimbunga Ialy zilizokuwa zikizitoa tangu Mei 17, 2024. …

Read More

Mipango uondoshaji taka yaibua maswali

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameeleza kukerwa na kutotekelezwa baadhi ya mipango inayopelekwa barazani kila mara na baadaye kurejeshwa kama mipya. Pia, wawakilishi hao wakati wakichangia bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, wameeleza kukerwa na halmashauri kushindwa kuzoa taka, kitendo kinachotia…

Read More

Shirika latekeleza agizo ufungaji luku za maji

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikianza utekelezaji wa kuweka mita za malipo ya huduma za maji kwa kadiri mtu anavyotumia (Luku), Shirika la WaterAid limeanza kutekelezaji kwa kuwafungia wananchi mita hizo. Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Maji 2024/25 bungeni Dodoma Mei 9, 2024, Waziri Jumaa Aweso alisema kuwa matumizi ya mita za maji za malipo…

Read More

Ndege yapata msukosuko angani, abiria 211 wanusurika kifo

Bangkok. Abiria 211 wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata msukosuko angani, ikiwa ni saa 10 tangu iliporuka, huku abiria mmoja akifariki dunia jana Jumanne Mei 21, 2024. Abiria hao waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Singapore Airlines kutoka London, Uingereza kwenda Singapore, walijawa na hofu kwenye tukio hilo ambapo abiria 30 wamejeruhiwa….

Read More

MAANDALIZI UJENZI WA BARABARA YA MWEMBE – MBAGA HADI MAMBA KM 90.19 KWA LAMI YAANZA

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi, Godfrey Kasekenya amesema Serikali imeanza maandalizi ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina katika utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Mwembe-Mbaga iliyoko Same Mkoani Kilimanjaro. Mhe.Kasekenya ameyasema hayo leo Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu Swali la Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi Mhe. David Mathayo David aliyetaka kujua ni…

Read More