Asasi yapendekeza Bunge kuidhinisha mikopo ya Serikali

Dodoma. Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD) umeshauri mikopo yote inayokopwa na Serikali kwa shughuli za maendeleo ipitishwe na Bunge badala ya jukumu hilo kuachiwa kamati zinazomshauri Waziri wa Fedha.  Ushauri huo umetolewa leo Jumatano Mei 22, 2024 na Mkurugenzi wa mtandao huo, Hebron Mwakagenda kwenye mkutano mkuu wa mtandao huo ulioandaliwa kwa kushirikiana…

Read More

Sh3.1 trilioni zatumika kuagiza bidhaa za sekta ya madini

Arusha. Kampuni zinazoendesha migodi ya madini hapa nchini zimefanya ununuzi wa zaidi ya Sh3.1 trilioni mwaka uliopita baada ya kuagiza nje ya nchi bidhaa mbalimbali. Kutokana na ununuzi huo, Waziri wa Madini, Antony Mavunde ameagiza Tume ya Madini nchini kumpelekea orodha ya bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Mavunde ametoa maagizo hayo leo Jumatano Mei…

Read More

Wafugaji, wakulima kupata bima | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati mchango wa sekta ya mifugo katika Pato la Taifa ukishuka kutoka asilimia saba mwaka 2021 hadi asilimia 6.7 mwaka 2022, Kampuni ya Bima ya CRDB na ACRE Africa zimesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kuikuza sekta hiyo. Takwimu za kushuka kwa mchango wa sekta hiyo, zimetolewa katika hotuba za…

Read More

ELIMU YA BIMA YATOLEWA KWA TAKUKURU KANDA YA ZIWA

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania kupitia Kanda ya Ziwa imetoa elimu ya bima kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mwanza ambapo jumla ya watumishi wapatao 26 wameshiriki mafunzo hayo. Mada mbalimbali ziliwasilishwa ikiwemo Majukumu ya TIRA, Dhana ya Bima, Bima za Magari, Taratibu za madai, Umuhimu wa kuwa wakala wa…

Read More

Chongolo aja na mbinu mpya ujenzi vyoo bora kwa kaya

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amesema anaanzisha mashindano ya ujenzi wa choo bora wilayani Momba na kaya itakayoibuka na ushindi itajipatia mifuko mitatu ya mbolea. Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku chache tangu Mganga Mkuu wa Mkoa huo, Dk Boniface Kasululu kufanya ukaguzi wa vyoo katika kijiji cha Mkutano wilayani Momba na…

Read More

WANAHARAKATI WAIPA KONGOLE SERIKALI BAJETI YA WIZARA YA ELIMU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wameipongeza Serikali kuongeza fedha katika bajeti ya Elimu kwa mwaka wa fedha 2024-2025 ambapo itawapatia fursa wanafunzi waliokosa fedha kwa ajili ya kujiendeleza kwenye masomo ya elimu ya juu kwa kuwapatia mikopo ambayo itawasaidia kufikia ndoto zao. Kwenye Bajeti hiyo serikali imetenga fedha…

Read More